Loading video...
Video Failed to Load
Mzee Magoma wansi agein 😊
55,645 views • 2 years ago •via X (Twitter)
9 Comments

Hana akili na wanaomhoji. Mfumo ulibadilishwa na katiba yake ya wakati huo itazingatia utaratibu wa kuwa mwanachama. Yy alipaswa kuhuisha uanachama wake kadiri mabadiliko ya katiba yanavyoendelea Utatuonyesha vitabu vya mwaka 1992 leo hoi ambapo mfumo wa katiba mpya umeshaleta kadi za wanachama wa Yanga 🤣🤣

Muulize kwanza,amesikia alichokisema mwanasheria mkuu wa mahakama leo hii,kiufupi kayatimba parefu saana

Mzee anawapiga kila shimo 😂

Kwahyo mwsho 2010 ndo kachangia co

Mzee bado anawafumua kwa hoja

Ana kitu atafika mbali 😂😂

Kadi za miaka hiyo za nini watu wana kadi mpya?

Yanga wametoa kadi mpya na katiba mpya na usilipia miezi 6 bila taarifa wewe sio mwanachama sasa huyu na makadi yake ya kitambo hata mm ninayo hayo,na hizo ni kumbukumbu tu na hazitumiki kwa sasa.

Hakuna haja ya kutambuana. Lets go Magoma..😂
