Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mzee Magoma wansi agein 😊

55,645 views • 2 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

Majengo SS Jamal's profile picture
Majengo SS Jamal2 years ago

Hana akili na wanaomhoji. Mfumo ulibadilishwa na katiba yake ya wakati huo itazingatia utaratibu wa kuwa mwanachama. Yy alipaswa kuhuisha uanachama wake kadiri mabadiliko ya katiba yanavyoendelea Utatuonyesha vitabu vya mwaka 1992 leo hoi ambapo mfumo wa katiba mpya umeshaleta kadi za wanachama wa Yanga 🤣🤣

BENZO10's profile picture
BENZO102 years ago

Muulize kwanza,amesikia alichokisema mwanasheria mkuu wa mahakama leo hii,kiufupi kayatimba parefu saana

Polycarp The Bibliophile's profile picture
Polycarp The Bibliophile2 years ago

Mzee anawapiga kila shimo 😂

Hamisi Shabani Dimalila's profile picture
Hamisi Shabani Dimalila2 years ago

Kwahyo mwsho 2010 ndo kachangia co

MZEE MKUDA's profile picture
MZEE MKUDA2 years ago

Mzee bado anawafumua kwa hoja

Katawa Jr's profile picture
Katawa Jr2 years ago

Ana kitu atafika mbali 😂😂

Ahmadbakari✌'s profile picture
Ahmadbakari✌2 years ago

Kadi za miaka hiyo za nini watu wana kadi mpya?

Ahmadbakari✌'s profile picture
Ahmadbakari✌2 years ago

Yanga wametoa kadi mpya na katiba mpya na usilipia miezi 6 bila taarifa wewe sio mwanachama sasa huyu na makadi yake ya kitambo hata mm ninayo hayo,na hizo ni kumbukumbu tu na hazitumiki kwa sasa.

Rahma Hassani's profile picture
Rahma Hassani2 years ago

Hakuna haja ya kutambuana. Lets go Magoma..😂

Related Videos