Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Na tulivyo uliza...

27,045 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Abiria wa SGR WAKASIRIKA, Baada ya kuambiwa waandike barua ili kupata REFUND ya SGR!! Swali ni kwamba? Walisema SGR inaendeshwa kama Ndege, Sasa, ikitokea Hitilafu kwenye ndege lazma kuwe na Refund... So, where are them? Msikilize dada akilalamika... Video kwa Comments👇🏾

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Tangu sa 16:30 watu haaajala, wamefungiwa humo ndani

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Hawa huku wengine wanalamika

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Mwingine huyu

Фото профиля Simba wa Yuda
Simba wa Yuda1 год назад

Hiyo ndiyo inaitwa SGR MARKETING Sasa watu wataanza kuikwepa because of reliability. Sasa mnachukuaje hela na kaz hamfanyi 🚮

Фото профиля Another level
Another level1 год назад

Mmmmh Tanzania yangu...

Фото профиля katekista
katekista1 год назад

Hii case simple ila mnatumia nguvu nyiingiiii... Fanyeni kumtag yule wakili wa castle light muone kama hamjarudishiwa hela yenu kiulaini na refund juu Na statement ya kuombwa radhi

Фото профиля Haki Kay's
Haki Kay's1 год назад

Dah very sad

Фото профиля mohamedi hamisi
mohamedi hamisi 1 год назад

Tuishie kusema mkome kushibokea vitu vya watu mkapande abood na shabibi zenu, hilo muaachie matajiri wasio rudishiwa nauli,

Фото профиля 출처 🌚
출처 🌚1 год назад

Hii kitu inazingua sana 😁😁😁

Фото профиля Godfrey
Godfrey1 год назад

Dada usiongee sana,wasiojulikana wakikubamba...

Похожие видео