Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Na tulivyo uliza...
27,045 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Abiria wa SGR WAKASIRIKA, Baada ya kuambiwa waandike barua ili kupata REFUND ya SGR!! Swali ni kwamba? Walisema SGR inaendeshwa kama Ndege, Sasa, ikitokea Hitilafu kwenye ndege lazma kuwe na Refund... So, where are them? Msikilize dada akilalamika... Video kwa Comments👇🏾

Tangu sa 16:30 watu haaajala, wamefungiwa humo ndani

Hawa huku wengine wanalamika

Mwingine huyu

Hiyo ndiyo inaitwa SGR MARKETING Sasa watu wataanza kuikwepa because of reliability. Sasa mnachukuaje hela na kaz hamfanyi 🚮

Mmmmh Tanzania yangu...

Hii case simple ila mnatumia nguvu nyiingiiii... Fanyeni kumtag yule wakili wa castle light muone kama hamjarudishiwa hela yenu kiulaini na refund juu Na statement ya kuombwa radhi

Dah very sad

Tuishie kusema mkome kushibokea vitu vya watu mkapande abood na shabibi zenu, hilo muaachie matajiri wasio rudishiwa nauli,

Hii kitu inazingua sana 😁😁😁

Dada usiongee sana,wasiojulikana wakikubamba...

