Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Ndiyo!!!! 😂

23,934 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля mhd
mhd1 год назад

Sisi Tukuyu mpaka Lufilyo huwezi kuta nyumba ina uzio na ukiweka uzio tunakutenga maana unatukataa wana 😊

Фото профиля Swahili Troll
Swahili Troll1 год назад

Mwamba kaeleza vizuri kuhusu trust kwa nchi za wazungu ila kwa Ulaya, ukitaka kujua hii ni nyumba ya tajiri utaona iko tofauti utakuta iko peke yake yaani haijaungana ukuta na nyumba ya jirani yake au ipo katika shamba linalojitegemea. Hii ndio ishara ya nyumba ya tajiri Ulaya.

Фото профиля Juma Zidikheri 🇹🇿
Juma Zidikheri 🇹🇿1 год назад

Jawabu ni Umasikini.

Фото профиля ♈𝗶𝗰𝘁𝗼ȓ̈🐇
♈𝗶𝗰𝘁𝗼ȓ̈🐇1 год назад

Shida nikulazimisha tuishi kama ulaya. Na sio kweli kwamba tunajenga fensi kisa tumedhurumu, Africa tunamiliki vibaki wengi Laza gari nje kesho kama utaikuta Salama? Majuzi tu madogo wapita njia wamepasua vioo vya madirisha kwangu. N iv Africa nyumba ni fensi.

Фото профиля Vitus Jumah
Vitus Jumah1 год назад

Ukiujua mziki wa panya road huwezi hoji, nilienda nchi moja kila Nyumba ni kuta ndefu ilipofika jioni nilipata majibu ya kwanini vile, wale siyo vibaka ni jeshi vibaka gani zaidi ya 50 saa mbili wazee wa kazi wanakiwasha msako wa simu na pesa mifukoni mwa kila raia anayezagaa.

Фото профиля Fredrick
Fredrick1 год назад

Barabara nyingi za makazi zipo tracked na CCTV zipo. Hata uhalifu ukitokea ni rahisi kufwatilia. Bongo hatuna hizo maneno maeneo yetu so ulinzi ni jukumu la kila mmoja.

Фото профиля Wisdom101
Wisdom1011 год назад

Jibu ni moja tu "Umaskini" Hilo jibu lako ni rubbish

Фото профиля RedDeer.Games
RedDeer.Games4 лет назад

[NINTENDO] Exclusive Now Available ➡️ #AAAclock ➡️ #SwitchOnline #SwitchOLED

Фото профиля West kilimanjaro tanzania 🇧🇷
West kilimanjaro tanzania 🇧🇷1 год назад

🙌🙌 dah, jamaaa kaongea fact xan

Фото профиля abudhabi
abudhabi1 год назад

Jibu sahihi Africa watu ni matapeli,wezi,majambazi,hawana uaminifu, lazima ujihami na camera, fence ya umeme, mbwa, mlinzi , hata mlinzi wako unamuogopa, na wewe pia uwe na bastola, haya ndio maisha ya africa, hujiulizi kwa nini magari mazuri side miller wanaziandika namba?

Фото профиля abudhabi
abudhabi1 год назад

Mwamba kakwepa kujibu kwa usahihi kajibu kielimu

Похожие видео