Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

23,934 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

mhd's profile picture
mhd1 year ago

Sisi Tukuyu mpaka Lufilyo huwezi kuta nyumba ina uzio na ukiweka uzio tunakutenga maana unatukataa wana 😊

Swahili Troll's profile picture
Swahili Troll1 year ago

Mwamba kaeleza vizuri kuhusu trust kwa nchi za wazungu ila kwa Ulaya, ukitaka kujua hii ni nyumba ya tajiri utaona iko tofauti utakuta iko peke yake yaani haijaungana ukuta na nyumba ya jirani yake au ipo katika shamba linalojitegemea. Hii ndio ishara ya nyumba ya tajiri Ulaya.

Juma Zidikheri 🇹🇿's profile picture
Juma Zidikheri 🇹🇿1 year ago

Jawabu ni Umasikini.

♈𝗶𝗰𝘁𝗼ȓ̈🐇's profile picture
♈𝗶𝗰𝘁𝗼ȓ̈🐇1 year ago

Shida nikulazimisha tuishi kama ulaya. Na sio kweli kwamba tunajenga fensi kisa tumedhurumu, Africa tunamiliki vibaki wengi Laza gari nje kesho kama utaikuta Salama? Majuzi tu madogo wapita njia wamepasua vioo vya madirisha kwangu. N iv Africa nyumba ni fensi.

Vitus Jumah's profile picture
Vitus Jumah1 year ago

Ukiujua mziki wa panya road huwezi hoji, nilienda nchi moja kila Nyumba ni kuta ndefu ilipofika jioni nilipata majibu ya kwanini vile, wale siyo vibaka ni jeshi vibaka gani zaidi ya 50 saa mbili wazee wa kazi wanakiwasha msako wa simu na pesa mifukoni mwa kila raia anayezagaa.

Fredrick's profile picture
Fredrick1 year ago

Barabara nyingi za makazi zipo tracked na CCTV zipo. Hata uhalifu ukitokea ni rahisi kufwatilia. Bongo hatuna hizo maneno maeneo yetu so ulinzi ni jukumu la kila mmoja.

Wisdom101's profile picture
Wisdom1011 year ago

Jibu ni moja tu "Umaskini" Hilo jibu lako ni rubbish

RedDeer.Games's profile picture
RedDeer.Games4 years ago

[NINTENDO] Exclusive Now Available ➡️ #AAAclock ➡️ #SwitchOnline #SwitchOLED

West kilimanjaro tanzania 🇧🇷's profile picture
West kilimanjaro tanzania 🇧🇷1 year ago

🙌🙌 dah, jamaaa kaongea fact xan

abudhabi's profile picture
abudhabi1 year ago

Jibu sahihi Africa watu ni matapeli,wezi,majambazi,hawana uaminifu, lazima ujihami na camera, fence ya umeme, mbwa, mlinzi , hata mlinzi wako unamuogopa, na wewe pia uwe na bastola, haya ndio maisha ya africa, hujiulizi kwa nini magari mazuri side miller wanaziandika namba?

abudhabi's profile picture
abudhabi1 year ago

Mwamba kakwepa kujibu kwa usahihi kajibu kielimu

Related Videos

Haya Ndiyo Madhara Ya Kunywa Pombe Za Bure😂😂
0:47

Sensitive content

Haya Ndiyo Madhara Ya Kunywa Pombe Za Bure😂😂

Singeli za Bongo

211,377 views • 1 year ago