正在加载视频...
视频加载失败
Neno Moja kwa mchambuzi
10 条评论

Idiot

Mimi sijaona haja ya nyie kumshambulia kwa sababu alichoongea ndo kilichotokea Tabora defensively walikuwa very solid na walichakuwa muda wa kuishambulia yanga na walifanikiwa. Na wala hawakutaka kupishana nao.

Mchambuzi hisia Huyu, hana anachojua

Asira za mkeo Unapeleka barabarani Sasa Utakachokutanacho Sasa nibalaaa

Me I think wanakwalite ya kiwashenyenta

Maneno haya sio mageni mjini labda kama wewe ndio mgeni...

Hapo ametoka kuiona Madrid ikichapwa mechi mbili mfululizo, City akipigwa mechi 3 mfululizo. Alafu anakuja kusema hivyo. 😄😂 Hivi watu mmeanza kufatilia mpira juzi nini, Mpira ni dakika 90 jamani. 😂🙌🏾

Uchambuzi sio sheria nafikiri sio Sawa kumshambulia huyu kijana anatoa mtazamo wake kama ambavyo mwingine anaweza kutoa mtazamo wake

Nakumbuk aliwahi kusema yanga haiwez kupotez mechi zaid ya moja mfurulizo kama ambavyo simba ilifanya baada ya ku droo but Jemedari alikanuka hili coz kweny football kuna maajabu

Yupo sahihi Tabora wamekuja na game plan nzuri hawajataka kupishana na Yanga ndio maana wakashinda
相关视频
Neno la Clatous Chama kwenda kwa Wanasimba. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club
120,474 次观看 • 2 年前
