Loading video...
Video Failed to Load
Neno Moja kwa mchambuzi
59,105 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Idiot

Mimi sijaona haja ya nyie kumshambulia kwa sababu alichoongea ndo kilichotokea Tabora defensively walikuwa very solid na walichakuwa muda wa kuishambulia yanga na walifanikiwa. Na wala hawakutaka kupishana nao.

Mchambuzi hisia Huyu, hana anachojua

Asira za mkeo Unapeleka barabarani Sasa Utakachokutanacho Sasa nibalaaa

Me I think wanakwalite ya kiwashenyenta

Maneno haya sio mageni mjini labda kama wewe ndio mgeni...

Hapo ametoka kuiona Madrid ikichapwa mechi mbili mfululizo, City akipigwa mechi 3 mfululizo. Alafu anakuja kusema hivyo. 😄😂 Hivi watu mmeanza kufatilia mpira juzi nini, Mpira ni dakika 90 jamani. 😂🙌🏾

Uchambuzi sio sheria nafikiri sio Sawa kumshambulia huyu kijana anatoa mtazamo wake kama ambavyo mwingine anaweza kutoa mtazamo wake

Nakumbuk aliwahi kusema yanga haiwez kupotez mechi zaid ya moja mfurulizo kama ambavyo simba ilifanya baada ya ku droo but Jemedari alikanuka hili coz kweny football kuna maajabu

Yupo sahihi Tabora wamekuja na game plan nzuri hawajataka kupishana na Yanga ndio maana wakashinda
Related Videos
Halafu Mwambieni Mill 7 kwenye Gorofa Ni Za Vioo Tu Kwa Floor Moja. 😂🚮
Bixen
18,192 views • 1 year ago
Sensitive content
Kutoka kwenye ndoa na kuingia kwenye umalaya moja kwa moja.
Trap Queen 🇰🇪 🇹🇿
72,296 views • 1 year ago
