Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Neno Moja kwa mchambuzi

59,105 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Tito Magoti's profile picture
Tito Magoti1 year ago

Idiot

Maxwell620's profile picture
Maxwell6201 year ago

Mimi sijaona haja ya nyie kumshambulia kwa sababu alichoongea ndo kilichotokea Tabora defensively walikuwa very solid na walichakuwa muda wa kuishambulia yanga na walifanikiwa. Na wala hawakutaka kupishana nao.

Edvin Mkini's profile picture
Edvin Mkini1 year ago

Mchambuzi hisia Huyu, hana anachojua

Mbwiga Haruna's profile picture
Mbwiga Haruna1 year ago

Asira za mkeo Unapeleka barabarani Sasa Utakachokutanacho Sasa nibalaaa

mr_profit_19's profile picture
mr_profit_191 year ago

Me I think wanakwalite ya kiwashenyenta

Daktari wa maabara's profile picture
Daktari wa maabara1 year ago

Maneno haya sio mageni mjini labda kama wewe ndio mgeni...

Megamind's profile picture
Megamind1 year ago

Hapo ametoka kuiona Madrid ikichapwa mechi mbili mfululizo, City akipigwa mechi 3 mfululizo. Alafu anakuja kusema hivyo. 😄😂 Hivi watu mmeanza kufatilia mpira juzi nini, Mpira ni dakika 90 jamani. 😂🙌🏾

presidaa's profile picture
presidaa1 year ago

Uchambuzi sio sheria nafikiri sio Sawa kumshambulia huyu kijana anatoa mtazamo wake kama ambavyo mwingine anaweza kutoa mtazamo wake

Gmmytz🇹🇿's profile picture
Gmmytz🇹🇿1 year ago

Nakumbuk aliwahi kusema yanga haiwez kupotez mechi zaid ya moja mfurulizo kama ambavyo simba ilifanya baada ya ku droo but Jemedari alikanuka hili coz kweny football kuna maajabu

𝐏𝐞𝐩𝐩𝐢𝐧𝐨 𝐘𝐮̂𝐬𝐢𝐯's profile picture
𝐏𝐞𝐩𝐩𝐢𝐧𝐨 𝐘𝐮̂𝐬𝐢𝐯1 year ago

Yupo sahihi Tabora wamekuja na game plan nzuri hawajataka kupishana na Yanga ndio maana wakashinda

Related Videos