Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Neno Moja kwa mchambuzi

59,105 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Tito Magoti
Tito Magoti1 год назад

Idiot

Фото профиля Maxwell620
Maxwell6201 год назад

Mimi sijaona haja ya nyie kumshambulia kwa sababu alichoongea ndo kilichotokea Tabora defensively walikuwa very solid na walichakuwa muda wa kuishambulia yanga na walifanikiwa. Na wala hawakutaka kupishana nao.

Фото профиля Edvin Mkini
Edvin Mkini1 год назад

Mchambuzi hisia Huyu, hana anachojua

Фото профиля Mbwiga Haruna
Mbwiga Haruna1 год назад

Asira za mkeo Unapeleka barabarani Sasa Utakachokutanacho Sasa nibalaaa

Фото профиля mr_profit_19
mr_profit_191 год назад

Me I think wanakwalite ya kiwashenyenta

Фото профиля Daktari wa maabara
Daktari wa maabara1 год назад

Maneno haya sio mageni mjini labda kama wewe ndio mgeni...

Фото профиля Megamind
Megamind1 год назад

Hapo ametoka kuiona Madrid ikichapwa mechi mbili mfululizo, City akipigwa mechi 3 mfululizo. Alafu anakuja kusema hivyo. 😄😂 Hivi watu mmeanza kufatilia mpira juzi nini, Mpira ni dakika 90 jamani. 😂🙌🏾

Фото профиля presidaa
presidaa1 год назад

Uchambuzi sio sheria nafikiri sio Sawa kumshambulia huyu kijana anatoa mtazamo wake kama ambavyo mwingine anaweza kutoa mtazamo wake

Фото профиля Gmmytz🇹🇿
Gmmytz🇹🇿1 год назад

Nakumbuk aliwahi kusema yanga haiwez kupotez mechi zaid ya moja mfurulizo kama ambavyo simba ilifanya baada ya ku droo but Jemedari alikanuka hili coz kweny football kuna maajabu

Фото профиля 𝐏𝐞𝐩𝐩𝐢𝐧𝐨 𝐘𝐮̂𝐬𝐢𝐯
𝐏𝐞𝐩𝐩𝐢𝐧𝐨 𝐘𝐮̂𝐬𝐢𝐯1 год назад

Yupo sahihi Tabora wamekuja na game plan nzuri hawajataka kupishana na Yanga ndio maana wakashinda

Похожие видео