正在加载视频...

视频加载失败

New Coaching Session 🚨 @AcademyLTFC under-15 head coach and under-16 assistant Oliver Modeste takes an under-16 group through practices focused on defensive principles, during the 2024/25 season… 🎩⚽️ Subscribe to CV Academy for more sessions like this.

10,080 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

2 条评论

KIDUKU 的头像
KIDUKU1 年前

😂😂😂😂😂😂@Sativa255 @Thereal_taivina

Jambo TV 的头像
Jambo TV1 年前

"Ukiona gari imepata pancha unashuka, unachukua gari nyingine unasonga mbele mpaka ufike safari ambayo wananchi wanaitaka na tumefanya hivyo kwenye kile chama tulipotoka. Sasa visiwepo vijineno, hivyo vijineno vipelekeni kiendelezeni chama chenu na sisi tumekuja kukiendeleza chama hiki ambacho tunaamini tutaweza kutumia jukwaa hili kuwahudumia watanzania na sio vinginevyo. Wanaosema tumehongwa waambieni wakome, tungehongwa tungeenda huko kijani. Tumekuja huku mapambano ni yaleyale tunayaendeleza, tulitofautiana kimtazamo, tunapotofautiana sio ugomvi, tutakuwa ni watoto wadogo tunapotofautiana kimtazamo tukageuza kuwa ugomvi na chuki, huo ni ushamba. Tupo tayari kushirikiana na chama chochote isipokuwa CCM. Tusilishane upepo kwamba tunaweza kuzuia uchaguzi, haiwezekani, haijawahi kutokea na haitakaa itokee. Mapambano hayakimbiwi, mwanajeshi mtiifu anafia kwenye mapambano."- Henry Kilewo, Kiongozi na Mwanachama wa CHAUMMA akizungumza na wananchi wa Muheza Mkoani Tanga leo Jumamosi Julai 12, 2025.

相关视频