Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ni Tanzania kweli??
159,832 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)
10 Kommentare

Na uhakika kbsa uyu jamaa anaweza kuwakabili hawawote....Ila katumia andiko ukipigwa shavu moja mgeuzie na lingine ....note ana nafasi yake peponi

Aliyesema sisi weusi tuna akili kuliko wazungu akamatwe aliwe kiboga. Hatuna akili

Hii video imeniharibu ubongo. Siwezi kusema ingekuwaje kama ni mimi ila huyo askari sidhani kama angeendelea kuishi kawaida.

Ni Africa.😊 Africa yetu watu wanaingia jeshini na dhana ya kwamba wakifuzu mafunzo, wao sio raia..hawahusiki na sheria zinazowahusu wananchi..wana utawala wao tofauti na raia..inafaa raia wawaogope.. yaan a very cruel and uncivilized mentality.

Kuna alie jaribu kwangu hivi Kwenye Sherehe years ago ni vile video haikurekodiwa, nafikiri alipo atarudia hilo kosa. Cha muhimu vijana fanyeni mazoezi, starabika na ijue sheria na haki zako vizuri hutaonewa

😅😅 sio kwa ubaya, ila, kuna mmoja wao hapo asingenisahau hadi siku anaondoka hapa duniani.

Nasoma comments za Keyboard worriors hapa.

Sijajua ila hii video ni ya muda sana

Hii ni video ya kitambo kidogo, cha kujiuliza hao walio tenda hilo walishughulikiwa?

Hahahahah 😅😅😅 hapa sio bongo 😅.. Ila hata kama ni polisi wa aina gan mimi hunipigi ivyoo 😅😅😅 labda uniue nitulie 😅😅😅
