Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Nimecheka 🤣🤣🤣
10 Kommentare

Mzee wa Makamovor 3 Jahren
Aisee nimekumbuka B.mkubwa alikua anavua kandambili anasema Kama unataka tukimbizane tangulia ukifika mahari unaona sitaweza kukukamata sema Piii🤣🤣🤣🤣

Lubasha Jrvor 3 Jahren
🤣🤣🤣🤣

Daktari Wa Manesi 💉💊vor 3 Jahren
Malezi yao ndio tumefika hapa leo hii

Lubasha Jrvor 3 Jahren
Naam

Cityzenvor 3 Jahren
@MrSanga_BM Sometimes unaweza finywa kwasababu Tu mtoto wa jiran ame misbehave, yani unafinywa alafu unaambiwa nikuone na ww ukifanya vile😂😂😂🙌🙌

Hika Lyimovor 3 Jahren
Saivi wee ndio unalelewa na kids 😂

Lubasha Jrvor 3 Jahren
🤣🤣🤣

Kamamaavor 3 Jahren
Ila tumenyooshwa wallahi 🤣🤣

Lubasha Jrvor 3 Jahren
Kwakweli tumepigwa 🤣

PATELvor 3 Jahren
Ndo maana Kizazi cha sasa kipo emotional sana denial kidogo tu mtu anataka kujiua, sisi unakua huna hisia unakabiliana na dunia vyovyote vile inavyokuja bila kulia lia!,,kuna ile unapigwa mapema kwa kosa la mtoto wa jirani ili usije ukalifanya 🤣🤣
