Loading video...
Video Failed to Load
Nimecheka 🤣🤣🤣
10 Comments

Mzee wa Makamo3 years ago
Aisee nimekumbuka B.mkubwa alikua anavua kandambili anasema Kama unataka tukimbizane tangulia ukifika mahari unaona sitaweza kukukamata sema Piii🤣🤣🤣🤣

Lubasha Jr3 years ago
🤣🤣🤣🤣

Daktari Wa Manesi 💉💊3 years ago
Malezi yao ndio tumefika hapa leo hii

Lubasha Jr3 years ago
Naam

Cityzen3 years ago
@MrSanga_BM Sometimes unaweza finywa kwasababu Tu mtoto wa jiran ame misbehave, yani unafinywa alafu unaambiwa nikuone na ww ukifanya vile😂😂😂🙌🙌

Hika Lyimo3 years ago
Saivi wee ndio unalelewa na kids 😂

Lubasha Jr3 years ago
🤣🤣🤣

Kamamaa3 years ago
Ila tumenyooshwa wallahi 🤣🤣

Lubasha Jr3 years ago
Kwakweli tumepigwa 🤣

PATEL3 years ago
Ndo maana Kizazi cha sasa kipo emotional sana denial kidogo tu mtu anataka kujiua, sisi unakua huna hisia unakabiliana na dunia vyovyote vile inavyokuja bila kulia lia!,,kuna ile unapigwa mapema kwa kosa la mtoto wa jirani ili usije ukalifanya 🤣🤣
