Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Nimecheka 🤣🤣🤣

130,259 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Mzee wa Makamo
Mzee wa Makamo3 лет назад

Aisee nimekumbuka B.mkubwa alikua anavua kandambili anasema Kama unataka tukimbizane tangulia ukifika mahari unaona sitaweza kukukamata sema Piii🤣🤣🤣🤣

Фото профиля Lubasha Jr
Lubasha Jr3 лет назад

🤣🤣🤣🤣

Фото профиля Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊3 лет назад

Malezi yao ndio tumefika hapa leo hii

Фото профиля Lubasha Jr
Lubasha Jr3 лет назад

Naam

Фото профиля Cityzen
Cityzen3 лет назад

@MrSanga_BM Sometimes unaweza finywa kwasababu Tu mtoto wa jiran ame misbehave, yani unafinywa alafu unaambiwa nikuone na ww ukifanya vile😂😂😂🙌🙌

Фото профиля Hika Lyimo
Hika Lyimo3 лет назад

Saivi wee ndio unalelewa na kids 😂

Фото профиля Lubasha Jr
Lubasha Jr3 лет назад

🤣🤣🤣

Фото профиля Kamamaa
Kamamaa3 лет назад

Ila tumenyooshwa wallahi 🤣🤣

Фото профиля Lubasha Jr
Lubasha Jr3 лет назад

Kwakweli tumepigwa 🤣

Фото профиля PATEL
PATEL3 лет назад

Ndo maana Kizazi cha sasa kipo emotional sana denial kidogo tu mtu anataka kujiua, sisi unakua huna hisia unakabiliana na dunia vyovyote vile inavyokuja bila kulia lia!,,kuna ile unapigwa mapema kwa kosa la mtoto wa jirani ili usije ukalifanya 🤣🤣

Похожие видео