Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Nimecheka 🤣🤣🤣
130,259 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Mzee wa Makamo3 лет назад
Aisee nimekumbuka B.mkubwa alikua anavua kandambili anasema Kama unataka tukimbizane tangulia ukifika mahari unaona sitaweza kukukamata sema Piii🤣🤣🤣🤣

Lubasha Jr3 лет назад
🤣🤣🤣🤣

Daktari Wa Manesi 💉💊3 лет назад
Malezi yao ndio tumefika hapa leo hii

Lubasha Jr3 лет назад
Naam

Cityzen3 лет назад
@MrSanga_BM Sometimes unaweza finywa kwasababu Tu mtoto wa jiran ame misbehave, yani unafinywa alafu unaambiwa nikuone na ww ukifanya vile😂😂😂🙌🙌

Hika Lyimo3 лет назад
Saivi wee ndio unalelewa na kids 😂

Lubasha Jr3 лет назад
🤣🤣🤣

Kamamaa3 лет назад
Ila tumenyooshwa wallahi 🤣🤣

Lubasha Jr3 лет назад
Kwakweli tumepigwa 🤣

PATEL3 лет назад
Ndo maana Kizazi cha sasa kipo emotional sana denial kidogo tu mtu anataka kujiua, sisi unakua huna hisia unakabiliana na dunia vyovyote vile inavyokuja bila kulia lia!,,kuna ile unapigwa mapema kwa kosa la mtoto wa jirani ili usije ukalifanya 🤣🤣
