Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

53,332 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Eng.S.Chambo
Eng.S.Chambovor 2 Jahren

Moto ni Adui namba moja,nauogopa sana Moto,watu wengi sana wanadharau moto ila ukiwaka ukachelewa kuudhibiti huwa ngumu sana kuuzima.

Profilbild von “Activism is life”
“Activism is life”vor 2 Jahren

Is this his personal property?

Profilbild von Think Different
Think Differentvor 2 Jahren

No government house

Profilbild von Pam Belinda 🥇
Pam Belinda 🥇vor 2 Jahren

Huyo DC yuko ndani au..?

Profilbild von Think Different
Think Differentvor 2 Jahren

Moto uwa hauna timing nzuri

Profilbild von Mode Ngoti
Mode Ngotivor 2 Jahren

Kwani yale magari ya washa washa hayawezi kuzima moto🤔

Profilbild von Mac 🇹🇿
Mac 🇹🇿vor 2 Jahren

Apparently they (public sector commissioners) will tell you to buy an extinguisher instead of installing fire hydrants across municipalities & districts in accords of swift appliance. Nyumba yenyewe ya D.C jamani ilikua hata haijakamilika. Hatari fire! Saa itakuaje?

Profilbild von Mkuujr5
Mkuujr5vor 2 Jahren

Yaani waliona moto wakaribu kuuzima wakidhani wataweza . 😳😳 Moto Umeshapanda juu ya paa hatuuwezi tena inabidi tuite fire waje kutusaidia . (Mashauriano juu kuita fira yanaendelea na moto unaendelea.)😳😳 Moto umetuzidi na tumeshindwa kuuzima sababu upo ghorofani na nyumba ni ndefu hatuna ngazi ya aina yoyote na fire hatuna mawasiliano yao ( Hapa inaonyesha walikuwa wanafanya kitu wasichokiweza na bado hawakufikiria fire wakati moto unaanza)😳😳 My take : Nyumba kama hii inakosaje namba za fire , ? Wale wanaopita kukagua mitungi “ Fire Extinguisures” kwenye majengo huwa hawaachi contacts? Au kuna majengo huwa hayapo kwenye hizi taratibu.? Hapa kuna funzo juu ya elimu ya kukabiliana na moto kwenye jamii. Imagine ndani ya nyumba ya mheshimiwa (kama kweli) watu wanakosa knowledge ya kuzima moto . Sasa sisi wa Mbagala kwa Bi Nyau huku hali itakuwaje .? Habari za asubuhi nimeamkia Mikwambe kwa mchepuko wa kizaramo.😎😎

Profilbild von Kirahi
Kirahivor 2 Jahren

Hivi yule kenani sijui kihongosi ni wawapi? Huu moto ungefanya jambo kwake tena saa 9 midnight huko.

Profilbild von Arkad
Arkadvor 2 Jahren

Sijui chanzo ila vijana wanahusika 😄

Ähnliche Videos