Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

53,332 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Eng.S.Chambo's profile picture
Eng.S.Chambo2 years ago

Moto ni Adui namba moja,nauogopa sana Moto,watu wengi sana wanadharau moto ila ukiwaka ukachelewa kuudhibiti huwa ngumu sana kuuzima.

“Activism is life”'s profile picture
“Activism is life”2 years ago

Is this his personal property?

Think Different's profile picture
Think Different2 years ago

No government house

Pam Belinda 🥇's profile picture
Pam Belinda 🥇2 years ago

Huyo DC yuko ndani au..?

Think Different's profile picture
Think Different2 years ago

Moto uwa hauna timing nzuri

Mode Ngoti's profile picture
Mode Ngoti2 years ago

Kwani yale magari ya washa washa hayawezi kuzima moto🤔

Mac 🇹🇿's profile picture
Mac 🇹🇿2 years ago

Apparently they (public sector commissioners) will tell you to buy an extinguisher instead of installing fire hydrants across municipalities & districts in accords of swift appliance. Nyumba yenyewe ya D.C jamani ilikua hata haijakamilika. Hatari fire! Saa itakuaje?

Mkuujr5's profile picture
Mkuujr52 years ago

Yaani waliona moto wakaribu kuuzima wakidhani wataweza . 😳😳 Moto Umeshapanda juu ya paa hatuuwezi tena inabidi tuite fire waje kutusaidia . (Mashauriano juu kuita fira yanaendelea na moto unaendelea.)😳😳 Moto umetuzidi na tumeshindwa kuuzima sababu upo ghorofani na nyumba ni ndefu hatuna ngazi ya aina yoyote na fire hatuna mawasiliano yao ( Hapa inaonyesha walikuwa wanafanya kitu wasichokiweza na bado hawakufikiria fire wakati moto unaanza)😳😳 My take : Nyumba kama hii inakosaje namba za fire , ? Wale wanaopita kukagua mitungi “ Fire Extinguisures” kwenye majengo huwa hawaachi contacts? Au kuna majengo huwa hayapo kwenye hizi taratibu.? Hapa kuna funzo juu ya elimu ya kukabiliana na moto kwenye jamii. Imagine ndani ya nyumba ya mheshimiwa (kama kweli) watu wanakosa knowledge ya kuzima moto . Sasa sisi wa Mbagala kwa Bi Nyau huku hali itakuwaje .? Habari za asubuhi nimeamkia Mikwambe kwa mchepuko wa kizaramo.😎😎

Kirahi's profile picture
Kirahi2 years ago

Hivi yule kenani sijui kihongosi ni wawapi? Huu moto ungefanya jambo kwake tena saa 9 midnight huko.

Arkad's profile picture
Arkad2 years ago

Sijui chanzo ila vijana wanahusika 😄

Related Videos