Loading video...
Video Failed to Load
Ramadan ya 5 Afande Sele hajafa.๐๐
181,130 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
10 Comments

Mziki unaho ishi

All in Christ Jesus for all ages, every f sec each using sap on eaic decree with their living spirits, souls, faiths, wills, efs that DAVID & FAITH OYEDEPO N ALL OF WINNER'S CHAPEL NEVER EAT FROM THE TREE OF LIFE THROUGH Elise Oyinkromeineifa, HER BABIES

Dini hizi...ni tatizo. Na laiti huyo mungu anayeombwa angekuwa anajibu Kwa matakwa ya waombaji ningeshangaa sana. Binafsi nashukuru sana Yehova, kwani Yeye anajibu Kwa namna yake na Kwa wakati wake.

Mungu angejibu kama mapenzi ya watu hakuna mtu angekuwa na nafasi ya kuishi ๐

Tatizo dua ilielekezwa kwa mtu asiye sahihi.Jamaa haitwi Afande Sele

Sheikh Bado anajua Mungu ni Athumani ๐๐

oyaaa๐๐๐ jamaa anapeta na wala hajawahi umwa hata maralia wala kupata hata kichefuchefu au homa yeyote ile kmmk๐๐

Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumuombea kifo binadamu mwenzie ata kama ana dharau Imani ya dini yako na mungu akajibu maombi Yako kama unavyotaka wewe Shida ya waislamu + wasabato wanapenda kujiona wao ndio watakatifu mbele ya mungu ( ULEVI WA DINI) TUBADILIKE. โ๐ป

DINI zipo kwa ajili yakuhukumu sio kumsaidia mdhambi na mkosefu kumrejea Muumba ,

Aliye ombewa KIFO ni Afande Sele na uyo Kwa picha na aliye hai hata leo ramadhani ya 5 ni Selemani Msindi ๐
