ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Ramadan ya 5 Afande Sele hajafa.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

181,152 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

BLACK SIZHO๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ ็š„ๅคดๅƒ
BLACK SIZHO๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ1 ๅนดๅ‰

Mziki unaho ishi

Elise Oyin ็š„ๅคดๅƒ
Elise Oyin1 ๅนดๅ‰

All in Christ Jesus for all ages, every f sec each using sap on eaic decree with their living spirits, souls, faiths, wills, efs that DAVID & FAITH OYEDEPO N ALL OF WINNER'S CHAPEL NEVER EAT FROM THE TREE OF LIFE THROUGH Elise Oyinkromeineifa, HER BABIES

El Chapo๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
El Chapo๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

Dini hizi...ni tatizo. Na laiti huyo mungu anayeombwa angekuwa anajibu Kwa matakwa ya waombaji ningeshangaa sana. Binafsi nashukuru sana Yehova, kwani Yeye anajibu Kwa namna yake na Kwa wakati wake.

Professor Jamvileo ็š„ๅคดๅƒ
Professor Jamvileo1 ๅนดๅ‰

Mungu angejibu kama mapenzi ya watu hakuna mtu angekuwa na nafasi ya kuishi ๐Ÿ˜‚

Evans D Mussa๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ฆ ็š„ๅคดๅƒ
Evans D Mussa๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ฆ1 ๅนดๅ‰

Tatizo dua ilielekezwa kwa mtu asiye sahihi.Jamaa haitwi Afande Sele

๐—๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐— ๐˜‚๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ็š„ๅคดๅƒ
๐—๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐— ๐˜‚๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐˜„๐—ฎ1 ๅนดๅ‰

Sheikh Bado anajua Mungu ni Athumani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

BabuPara_๐• ็š„ๅคดๅƒ
BabuPara_๐•1 ๅนดๅ‰

oyaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jamaa anapeta na wala hajawahi umwa hata maralia wala kupata hata kichefuchefu au homa yeyote ile kmmk๐Ÿ’”๐Ÿ’”

Mtogole.. Jr ็š„ๅคดๅƒ
Mtogole.. Jr1 ๅนดๅ‰

Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumuombea kifo binadamu mwenzie ata kama ana dharau Imani ya dini yako na mungu akajibu maombi Yako kama unavyotaka wewe Shida ya waislamu + wasabato wanapenda kujiona wao ndio watakatifu mbele ya mungu ( ULEVI WA DINI) TUBADILIKE. โœŠ๐Ÿป

Hamis A. Mponzi ็š„ๅคดๅƒ
Hamis A. Mponzi1 ๅนดๅ‰

DINI zipo kwa ajili yakuhukumu sio kumsaidia mdhambi na mkosefu kumrejea Muumba ,

IbizaSavimbi ็š„ๅคดๅƒ
IbizaSavimbi1 ๅนดๅ‰

Aliye ombewa KIFO ni Afande Sele na uyo Kwa picha na aliye hai hata leo ramadhani ya 5 ni Selemani Msindi ๐Ÿ˜‚

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘