Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Sema watu wana pesa sana aisee🙆‍♂️

52,818 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

💕sexy lady💕's profile picture
💕sexy lady💕1 year ago

Alafu ni jirani yetu ,mama ake anakaa majohe! Huyu hatashule alikua haendi tunamjua anaitwa chodo

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

whoa thats crazy but have you heard this?

Cartoon's profile picture
Cartoon1 year ago

viumbe vya ajab sana unalipa code milion mbil mm nalipa elf 15 mungu aliv fundi wote tunalala usingiz au mwenzet analala kitu kingine tofaut na usingiz? ni sawa na kununua kilo ya nyama laki moja me then mm nanunua kilo ya nyama 5000 lakin sote tumekula nyama😎

Lupin🧠's profile picture
Lupin🧠1 year ago

Mzuri,hajielezei tuache ujinga,Piaa mwambieni akatengeneze kinywa chake meno hizo ni kama za dead list 😂😂😂😂

Kim's profile picture
Kim1 year ago

Wana pesa ama..ni viungoo vyao vya mwili vinatesekaa??

Muuza Vitu😎(Vitu Ni Vingi)'s profile picture
Muuza Vitu😎(Vitu Ni Vingi)1 year ago

Yupo single pesa ya kodi kiasi hicho anatoa wapi?😂 atuoneshe muonekano wa nyumba tucompr

Marcusy lema's profile picture
Marcusy lema1 year ago

Mzuri

Olemakame's profile picture
Olemakame1 year ago

Tamba sana ila ipo siku utakuja hapo hapo kulia kuomba msaada kisha tutakutolea hii video.

Salym Mchomvu Mahuna's profile picture
Salym Mchomvu Mahuna1 year ago

Pumbavu kabisa ,

semfx's profile picture
semfx1 year ago

No senkyu🙂‍↕️

gift star's profile picture
gift star1 year ago

Mwambien avue miwani anakuwa kama Rango

Related Videos