Loading video...
Video Failed to Load
Sema watu wana pesa sana aisee🙆♂️
52,818 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Alafu ni jirani yetu ,mama ake anakaa majohe! Huyu hatashule alikua haendi tunamjua anaitwa chodo

whoa thats crazy but have you heard this?

viumbe vya ajab sana unalipa code milion mbil mm nalipa elf 15 mungu aliv fundi wote tunalala usingiz au mwenzet analala kitu kingine tofaut na usingiz? ni sawa na kununua kilo ya nyama laki moja me then mm nanunua kilo ya nyama 5000 lakin sote tumekula nyama😎

Mzuri,hajielezei tuache ujinga,Piaa mwambieni akatengeneze kinywa chake meno hizo ni kama za dead list 😂😂😂😂

Wana pesa ama..ni viungoo vyao vya mwili vinatesekaa??

Yupo single pesa ya kodi kiasi hicho anatoa wapi?😂 atuoneshe muonekano wa nyumba tucompr

Mzuri

Tamba sana ila ipo siku utakuja hapo hapo kulia kuomba msaada kisha tutakutolea hii video.

Pumbavu kabisa ,

No senkyu🙂↕️

Mwambien avue miwani anakuwa kama Rango
Related Videos
Daah watanzania wana maumivu makali sana aisee. Moyo unavuja damu.
SIR TIVA
20,646 views • 1 month ago
