Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kuna watu wana utani sana

86,184 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

ASSEY.'s profile picture
ASSEY.1 year ago

Watu wanakuja na maneno eti hicho kifo Mungu kapanga. Huo uzembe tusimshirikishe Mungu. Mpango wa Mungu tufe katika uzee ulio mwema... Ifike mahali wapigwe faini kubwa.

MAIPAMBO JR's profile picture
MAIPAMBO JR1 year ago

Labda walikua wana zunia engene isianguke😀😀

Adventure-360's profile picture
Adventure-3601 year ago

😅

HellSpawn's profile picture
HellSpawn1 year ago

Huyo dereva, tajiri wote wawekwe ndani na leseni ya biashara ifutwe, ili wengine wajifunze. Huo mnyororo unahold vipi stress za vibration from the engine 🚮. Walikuwa wanaenda kutoa roho za watu hawa mashetani

Al-Masoud Bin Saleh's profile picture
Al-Masoud Bin Saleh1 year ago

Tatizo ukaguzi ni kama unafanyika kwa msimu. Barabarani kuna mabasi mengi mabovu zaidi ya hili nayanabeba abiria.

Lactose's profile picture
Lactose1 year ago

Matajiri wapo after money! Wana slogan yao “Ukifa utaenda kupewa mwili mpya”

Mani Machuppa's profile picture
Mani Machuppa1 year ago

Sometimes tuwe wawazi kweli unasafirisha abiria hivyo chombo hakiko salama

TUNECHI🇦🇺's profile picture
TUNECHI🇦🇺1 year ago

Ah wana mzaha na uhai wetu

𝐀mbwene's profile picture
𝐀mbwene1 year ago

Hatupo serious

Pilot ✈️'s profile picture
Pilot ✈️1 year ago

Hongera kwa Jeshi la Polisi, kazi nzuri.

Related Videos