Loading video...
Video Failed to Load
Kuna watu wana utani sana
86,184 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Watu wanakuja na maneno eti hicho kifo Mungu kapanga. Huo uzembe tusimshirikishe Mungu. Mpango wa Mungu tufe katika uzee ulio mwema... Ifike mahali wapigwe faini kubwa.

Labda walikua wana zunia engene isianguke😀😀

😅

Huyo dereva, tajiri wote wawekwe ndani na leseni ya biashara ifutwe, ili wengine wajifunze. Huo mnyororo unahold vipi stress za vibration from the engine 🚮. Walikuwa wanaenda kutoa roho za watu hawa mashetani

Tatizo ukaguzi ni kama unafanyika kwa msimu. Barabarani kuna mabasi mengi mabovu zaidi ya hili nayanabeba abiria.

Matajiri wapo after money! Wana slogan yao “Ukifa utaenda kupewa mwili mpya”

Sometimes tuwe wawazi kweli unasafirisha abiria hivyo chombo hakiko salama

Ah wana mzaha na uhai wetu

Hatupo serious

Hongera kwa Jeshi la Polisi, kazi nzuri.
