Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

16,661 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Mchomvu ink's profile picture
Mchomvu ink2 years ago

Ni kweli anachosema kwenye dini ya ki Islam kuna mlango wa dharura sio kwenye ngurue tu vitu vingi kama kuna kitu unaweza ukala kikaokoa uhai wako ni ruksa kabisa kula kuliko ukajiacha ukafa.Mwenyezi mungu anatupenda zaidi

mwimbih's profile picture
mwimbih2 years ago

Nakula nashiba ndiii alafu nasema astakafilullah napangusa makalio naondoka 😢

Nicky's profile picture
Nicky2 years ago

Usishibe😅😅😅

H E R R Y 🦉's profile picture
H E R R Y 🦉2 years ago

Ndio ndio

KIFIMBO's profile picture
KIFIMBO2 years ago

Huyu jamaa anahubiri au anaongeaa story za vijiweni.

Jerry Mtitu's profile picture
Jerry Mtitu2 years ago

QURAN AL- BAQARA (2:173)

H E R R Y 🦉's profile picture
H E R R Y 🦉2 years ago

Kumbe ni kweliii

GweMzee's profile picture
GweMzee2 years ago

Hakuna sehemu nguruwe yupo af hakuna chakula nguruwe hakai sehem ambayo haina chakula msitufanye wajinga

Garnet's profile picture
Garnet2 years ago

Hata uongo ni haramu lakini kama kuna mazingira hatarishi unatakiwa ujihami, ndio maana tukasema dini ya Uislam kamili

mang'ati msomi's profile picture
mang'ati msomi2 years ago

Mjadala mgumu sana huu kama kuna mahali utajaribu kutumia hiyo kitu auwezi acha Ilo imnyama tam sana usiambiwe uongo ana minyoo mbona ndio nyama inaongoza kwa kuliwa zaidi duniani kwenye starehe