Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Sikieni hiliii jamani

16,661 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Mchomvu ink
Mchomvu ink2 лет назад

Ni kweli anachosema kwenye dini ya ki Islam kuna mlango wa dharura sio kwenye ngurue tu vitu vingi kama kuna kitu unaweza ukala kikaokoa uhai wako ni ruksa kabisa kula kuliko ukajiacha ukafa.Mwenyezi mungu anatupenda zaidi

Фото профиля mwimbih
mwimbih2 лет назад

Nakula nashiba ndiii alafu nasema astakafilullah napangusa makalio naondoka 😢

Фото профиля Nicky
Nicky2 лет назад

Usishibe😅😅😅

Фото профиля H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉2 лет назад

Ndio ndio

Фото профиля KIFIMBO
KIFIMBO2 лет назад

Huyu jamaa anahubiri au anaongeaa story za vijiweni.

Фото профиля Jerry Mtitu
Jerry Mtitu2 лет назад

QURAN AL- BAQARA (2:173)

Фото профиля H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉2 лет назад

Kumbe ni kweliii

Фото профиля GweMzee
GweMzee2 лет назад

Hakuna sehemu nguruwe yupo af hakuna chakula nguruwe hakai sehem ambayo haina chakula msitufanye wajinga

Фото профиля Garnet
Garnet2 лет назад

Hata uongo ni haramu lakini kama kuna mazingira hatarishi unatakiwa ujihami, ndio maana tukasema dini ya Uislam kamili

Фото профиля mang'ati msomi
mang'ati msomi2 лет назад

Mjadala mgumu sana huu kama kuna mahali utajaribu kutumia hiyo kitu auwezi acha Ilo imnyama tam sana usiambiwe uongo ana minyoo mbona ndio nyama inaongoza kwa kuliwa zaidi duniani kwenye starehe

Похожие видео