Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Sikiliza mpaka mwisho.😂😂😂
23,792 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Duniani muogope mungu na tekinorojia

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Mungu alivofundi sasa kamfanya avae na nguo zile zile🤣🤣🤣🤣🤣

Walikuwa wanaandaa dili la kupiga pesa hao

Wahenga walikuwa sahihi sana waliposema kuwa tuwe na akiba ya maneno😁😁

Watu wa ndimi mbili hawa hatari zaidi ya nyoka. Je, nilikuwa kigeugeu nilipotaka kufanya hivi? Au mimi ninafanya mipango yangu kama watu wa dunia, nikiwa tayari kusema, “Ndiyo” na wakati huo huo kusema, “Hapana”?

Wanatia kichefuchefu, sifungui

Mwehu Huyu.. Ndimi Mbili..😃

Ndumilakuwili.

Ogopa Sana Matapeli

Yaaani tumesikiliza lakini kwa hao Njaa 55 hawana jipya wamekaa makao makuu wengine more than 20years kuwekwa benchi miezi 3 ni shida wanamshambulia lissu kama yuko tegeta kumbe yuko lockup.
