Loading video...
Video Failed to Load
Takataka Msigwa na Genge Lake
33,305 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Akina @EduTalkTz , kuongoza chadema tena dhidi ya ccm yenye backup ya polisi a watanzania waoga is not for everybody mzee !! Ni sawa unahitaji democrasia lakini unaangalia na Alama za nyakati. Tz nzima no one can survive what Freeman have been through no one .

Hajaitisha press ya usiku?

Hashindwi tusubiri leo usiku

Msigwa ni tapeli kama gwajima

Edo mbona anasound kama 😀😀😀 ila alichosema kina uhalisia ukweli

Kweli wasiomtaka Mbowe ni wengi nje ya CHADEMA kuliko ndani. Na ni wale wanaotamani CDM ife. Mbowe akiondoka CDM Leo watakaotengeneza sherehe kubwa ni CCM ,watasherehekea week nzima. So... CDM mnatakiwa kujiuliza,kwanini hili shinikizo linatoka nnje zaidi kuliko ndani .

Sio kweli kua watu wasiotaka Mbowe aendelee kuwa MWENYEKITI kua wako nje ya CHADEMA, sio kweli hata kidogo. Yaan ukimpenda mwanachama mwingine tofaut na Mbowe na kupendekeza kuwa awe kiongoz wa juu tayar unakua uko nje ya CHADEMA? Hii demokrasia vip? Kwahyo wanaompenda TL n CCM?

Kuuficha ukweli ni ngumu kama kutaka kwenda ahela bila kufa! Mwamba anakomaa sana. Ukiwa na akili za kifikra na mtazamo wa taifa lilipo na lilikopita mtu wa aina ya FAM ni adui no moja wa wahuni! Kama bunadamu makosa yapo kajisemea jana ila ACHUKUE MAUWA YAKE

Na ni "watoto wadogo"

Kama Chadema isingekuwa chini ya Mbowe mwaka 2015,CCM isingekuwa madarakami
