Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Thank you Balozi. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

89,053 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

9 Yorum

𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 profil fotoğrafı
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚1 yıl önce

Elewa vizuri; As your largest bilateral donor!Jamani tajiri kamaind. Kama huna D mbili unaweza usielewe. Jamaa wana contribute 7.5 Billion USD, this is USA taxpayers' money. Hii ni significant amount manake inaboost budget ya Tanzania kwa kiasi kikubwa. Mind you, sio debt financing; it's a grant guys... alafu tunataka ku-breach democracy. No joke, hawa jamaa wakiondoka, Wachina watatuwa.

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 profil fotoğrafı
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 yıl önce

Balozi ameona aanze kabisa na kutaja msaada kwa kiwango ambao Marekani ameshatupatia; kisha anaonyesha kuwa wana haki ya kutusimamia kama “monitor”! Ujamaa na Kujitegemea ulikuwa na lengo kubwa sana

Filbert Lamosai profil fotoğrafı
Filbert Lamosai1 yıl önce

Wenzetu hawana cha "mama anaupiga mwingi" au kusema "mumeelewa vibaya hotuba ya Rais"...Mumeo anapokupa sh. Trilion 1 kila mwaka kwa miaka 20 mfululizo nje ya mkopo, hutakiwi kumpangia mkao wa kukuweka wakati wa tendo.

Charlie Brown profil fotoğrafı
Charlie Brown1 yıl önce

Unapewa $7.5B in two years kuendesha serikali chakavu iliyojaa rushwa,upigaji,uvunjifu wa haki za binadamu, demokrasia na isiyo na utawala bora, halafu unakuja na maneno ya shombo kwa wafadhili wako, eti...

bettertips profil fotoğrafı
bettertips1 yıl önce

Matured democracy is very important

Mr-vpn100% u r in my memory profil fotoğrafı
Mr-vpn100% u r in my memory1 yıl önce

Ccm bhana Pesa wanakula Halafu wanapaniki Wakae kwa kutulia. Dawa iwaingie

MTEMI profil fotoğrafı
MTEMI1 yıl önce

@HecheJohn Balozi kanyoosha. Kwani yeye hakumsikia Rais kuwa hatupangiwi na hatuwaingilii kule kwao? Nadhani Uv wafanye jambo kwa balozi ajifunze kuwa #mamayukokazini ☺

Mr-vpn100% u r in my memory profil fotoğrafı
Mr-vpn100% u r in my memory1 yıl önce

Hawa Ndyo mabalozi sasa. Kubebekeeeee Humu tuuuuuu

Alphonce C L profil fotoğrafı
Alphonce C L1 yıl önce

Balozi talks kwa uchungu more than our county men and women, we are lost.

Benzer Videolar