Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Thank you Balozi. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

89,053 views • 1 year ago •via X (Twitter)

9 Comments

𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚's profile picture
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚1 year ago

Elewa vizuri; As your largest bilateral donor!Jamani tajiri kamaind. Kama huna D mbili unaweza usielewe. Jamaa wana contribute 7.5 Billion USD, this is USA taxpayers' money. Hii ni significant amount manake inaboost budget ya Tanzania kwa kiasi kikubwa. Mind you, sio debt financing; it's a grant guys... alafu tunataka ku-breach democracy. No joke, hawa jamaa wakiondoka, Wachina watatuwa.

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿's profile picture
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 year ago

Balozi ameona aanze kabisa na kutaja msaada kwa kiwango ambao Marekani ameshatupatia; kisha anaonyesha kuwa wana haki ya kutusimamia kama “monitor”! Ujamaa na Kujitegemea ulikuwa na lengo kubwa sana

Filbert Lamosai's profile picture
Filbert Lamosai1 year ago

Wenzetu hawana cha "mama anaupiga mwingi" au kusema "mumeelewa vibaya hotuba ya Rais"...Mumeo anapokupa sh. Trilion 1 kila mwaka kwa miaka 20 mfululizo nje ya mkopo, hutakiwi kumpangia mkao wa kukuweka wakati wa tendo.

Charlie Brown's profile picture
Charlie Brown1 year ago

Unapewa $7.5B in two years kuendesha serikali chakavu iliyojaa rushwa,upigaji,uvunjifu wa haki za binadamu, demokrasia na isiyo na utawala bora, halafu unakuja na maneno ya shombo kwa wafadhili wako, eti...

bettertips's profile picture
bettertips1 year ago

Matured democracy is very important

Mr-vpn100% u r in my memory's profile picture
Mr-vpn100% u r in my memory1 year ago

Ccm bhana Pesa wanakula Halafu wanapaniki Wakae kwa kutulia. Dawa iwaingie

MTEMI's profile picture
MTEMI1 year ago

@HecheJohn Balozi kanyoosha. Kwani yeye hakumsikia Rais kuwa hatupangiwi na hatuwaingilii kule kwao? Nadhani Uv wafanye jambo kwa balozi ajifunze kuwa #mamayukokazini ☺

Mr-vpn100% u r in my memory's profile picture
Mr-vpn100% u r in my memory1 year ago

Hawa Ndyo mabalozi sasa. Kubebekeeeee Humu tuuuuuu

Alphonce C L's profile picture
Alphonce C L1 year ago

Balozi talks kwa uchungu more than our county men and women, we are lost.

Related Videos