Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Thank you Balozi. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

89,065 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля 𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚2 лет назад

Elewa vizuri; As your largest bilateral donor!Jamani tajiri kamaind. Kama huna D mbili unaweza usielewe. Jamaa wana contribute 7.5 Billion USD, this is USA taxpayers' money. Hii ni significant amount manake inaboost budget ya Tanzania kwa kiasi kikubwa. Mind you, sio debt financing; it's a grant guys... alafu tunataka ku-breach democracy. No joke, hawa jamaa wakiondoka, Wachina watatuwa.

Фото профиля Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿2 лет назад

Balozi ameona aanze kabisa na kutaja msaada kwa kiwango ambao Marekani ameshatupatia; kisha anaonyesha kuwa wana haki ya kutusimamia kama “monitor”! Ujamaa na Kujitegemea ulikuwa na lengo kubwa sana

Фото профиля Filbert Lamosai
Filbert Lamosai2 лет назад

Wenzetu hawana cha "mama anaupiga mwingi" au kusema "mumeelewa vibaya hotuba ya Rais"...Mumeo anapokupa sh. Trilion 1 kila mwaka kwa miaka 20 mfululizo nje ya mkopo, hutakiwi kumpangia mkao wa kukuweka wakati wa tendo.

Фото профиля Charlie Brown
Charlie Brown2 лет назад

Unapewa $7.5B in two years kuendesha serikali chakavu iliyojaa rushwa,upigaji,uvunjifu wa haki za binadamu, demokrasia na isiyo na utawala bora, halafu unakuja na maneno ya shombo kwa wafadhili wako, eti...

Фото профиля bettertips
bettertips2 лет назад

Matured democracy is very important

Фото профиля Mr-vpn100% u r in my memory
Mr-vpn100% u r in my memory2 лет назад

Ccm bhana Pesa wanakula Halafu wanapaniki Wakae kwa kutulia. Dawa iwaingie

Фото профиля MTEMI
MTEMI2 лет назад

@HecheJohn Balozi kanyoosha. Kwani yeye hakumsikia Rais kuwa hatupangiwi na hatuwaingilii kule kwao? Nadhani Uv wafanye jambo kwa balozi ajifunze kuwa #mamayukokazini ☺

Фото профиля Mr-vpn100% u r in my memory
Mr-vpn100% u r in my memory2 лет назад

Hawa Ndyo mabalozi sasa. Kubebekeeeee Humu tuuuuuu

Фото профиля Alphonce C L
Alphonce C L2 лет назад

Balozi talks kwa uchungu more than our county men and women, we are lost.

Похожие видео