ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Thank you Balozi. ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

89,053 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

9 ๆก่ฏ„่ฎบ

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

Elewa vizuri; As your largest bilateral donor!Jamani tajiri kamaind. Kama huna D mbili unaweza usielewe. Jamaa wana contribute 7.5 Billion USD, this is USA taxpayers' money. Hii ni significant amount manake inaboost budget ya Tanzania kwa kiasi kikubwa. Mind you, sio debt financing; it's a grant guys... alafu tunataka ku-breach democracy. No joke, hawa jamaa wakiondoka, Wachina watatuwa.

Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

Balozi ameona aanze kabisa na kutaja msaada kwa kiwango ambao Marekani ameshatupatia; kisha anaonyesha kuwa wana haki ya kutusimamia kama โ€œmonitorโ€! Ujamaa na Kujitegemea ulikuwa na lengo kubwa sana

Filbert Lamosai ็š„ๅคดๅƒ
Filbert Lamosai1 ๅนดๅ‰

Wenzetu hawana cha "mama anaupiga mwingi" au kusema "mumeelewa vibaya hotuba ya Rais"...Mumeo anapokupa sh. Trilion 1 kila mwaka kwa miaka 20 mfululizo nje ya mkopo, hutakiwi kumpangia mkao wa kukuweka wakati wa tendo.

Charlie Brown ็š„ๅคดๅƒ
Charlie Brown1 ๅนดๅ‰

Unapewa $7.5B in two years kuendesha serikali chakavu iliyojaa rushwa,upigaji,uvunjifu wa haki za binadamu, demokrasia na isiyo na utawala bora, halafu unakuja na maneno ya shombo kwa wafadhili wako, eti...

bettertips ็š„ๅคดๅƒ
bettertips1 ๅนดๅ‰

Matured democracy is very important

Mr-vpn100% u r in my memory ็š„ๅคดๅƒ
Mr-vpn100% u r in my memory1 ๅนดๅ‰

Ccm bhana Pesa wanakula Halafu wanapaniki Wakae kwa kutulia. Dawa iwaingie

MTEMI ็š„ๅคดๅƒ
MTEMI1 ๅนดๅ‰

@HecheJohn Balozi kanyoosha. Kwani yeye hakumsikia Rais kuwa hatupangiwi na hatuwaingilii kule kwao? Nadhani Uv wafanye jambo kwa balozi ajifunze kuwa #mamayukokazini โ˜บ

Mr-vpn100% u r in my memory ็š„ๅคดๅƒ
Mr-vpn100% u r in my memory1 ๅนดๅ‰

Hawa Ndyo mabalozi sasa. Kubebekeeeee Humu tuuuuuu

Alphonce C L ็š„ๅคดๅƒ
Alphonce C L1 ๅนดๅ‰

Balozi talks kwa uchungu more than our county men and women, we are lost.

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘