Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

148,227 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Hilda Newton profil fotoğrafı
Hilda Newton1 yıl önce

Uheshimiane na nani? Hiyo heshima wewe na hao wenzako mnayo? Mnabambika Viongozi wa CHADEMA kesi halafu hamtaki watu waje kusikiliza hizi akili au matope? Kama mnaushaidi wa kutosha kwanini mnaogopa Waangalizi wa Kimataifa? Nyie na Mama yenu mmeteka Vijana wetu akina Deusdedith Soka, Jacob Mlay, Frank Mbise, Chaula, Dinioz Kipanya, Amani Manengelo na juzi memchukua Mdude Nyagali. Halafu mnataka heshima nan awape heshima wauaji kama nyinyi?🚮🚮🚮🚮

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

this beat is wild

Tito Magoti profil fotoğrafı
Tito Magoti1 yıl önce

Acheni ulimbukeni🚮🚮

Lab Technologist 🔬 profil fotoğrafı
Lab Technologist 🔬1 yıl önce

kwamba mteke , nmpe uhaini ili mmunyonge then majirani wakae wamejifungia tu mtu anakufa sio☺️😄 hii nchi ya hovyo sana , harafu oktoba mkijitangaza mnataka waje kuwapongeza na washiriki shereehe ya uapisho?? SIO WAJINGA KIHIVYO

Dabantz profil fotoğrafı
Dabantz1 yıl önce

Kutoka kuwa taa ya Afrika hadi kuwa kivuli cha udikteta — Tanzania imepoteza dira. Tulikuwa kimbilio la wapigania uhuru, leo tunawafukuza wapigania haki. Historia inatuangalia kwa huzuni, na kizazi cha leo kinapaswa kujiuliza: tumewaridhisha mababu zetu au tumewasaliti?

mawazo tofauti profil fotoğrafı
mawazo tofauti1 yıl önce

Sisi wananchi pia tunataka heshima kwenye kura tunazopiga kuchagua viongozi wetu

Thadei Mhabuka profil fotoğrafı
Thadei Mhabuka1 yıl önce

Ndugu msigwa kuna kitu gani serikali yenu inataka kuficha mbele jumuiya ya kimataifa kwani kuna nini kingeweza kutokea endapo mkiruhusu watu wakaja kisikiliza kes mliyo mpa mh Lisu ya uhaini wambieni wapelelez wenu wakamilishe upelelez muionyeshe dunia uhaini alio panga kufanya.

king_davd_ll profil fotoğrafı
king_davd_ll1 yıl önce

Utaheshimika ukiheshimu wenzio tu Vinginevyo jiandaeni kukutana na vibuli vya utii kila kona ANGUKO LENU LIPO KALIBU SANA KULIKO USIKU WA DENI

FREE NATION. profil fotoğrafı
FREE NATION.1 yıl önce

Mtu ako jela ana furaha kuwaliko🤣🤣🤣

Polycarp The Bibliophile profil fotoğrafı
Polycarp The Bibliophile1 yıl önce

Kwenye suala la Kurekebisha Mkapa, mmetia aibu sana, usijifiche kwenye hiki kichaka

Mr Honest 💸 profil fotoğrafı
Mr Honest 💸1 yıl önce

Yy mbona anaenda kusuruhisha DRC yanamhusu nn? kama anataka kuheshimika aache kuua watu, kuteka na kubambika watu kesi heshima sio kuvuruga na kujifanya mbabe mwambieni walikuepo leo wako wap?

Benzer Videolar