正在加载视频...
视频加载失败
TUHESHIMIANE.
11 条评论

Uheshimiane na nani? Hiyo heshima wewe na hao wenzako mnayo? Mnabambika Viongozi wa CHADEMA kesi halafu hamtaki watu waje kusikiliza hizi akili au matope? Kama mnaushaidi wa kutosha kwanini mnaogopa Waangalizi wa Kimataifa? Nyie na Mama yenu mmeteka Vijana wetu akina Deusdedith Soka, Jacob Mlay, Frank Mbise, Chaula, Dinioz Kipanya, Amani Manengelo na juzi memchukua Mdude Nyagali. Halafu mnataka heshima nan awape heshima wauaji kama nyinyi?🚮🚮🚮🚮

this beat is wild

Acheni ulimbukeni🚮🚮

kwamba mteke , nmpe uhaini ili mmunyonge then majirani wakae wamejifungia tu mtu anakufa sio☺️😄 hii nchi ya hovyo sana , harafu oktoba mkijitangaza mnataka waje kuwapongeza na washiriki shereehe ya uapisho?? SIO WAJINGA KIHIVYO

Kutoka kuwa taa ya Afrika hadi kuwa kivuli cha udikteta — Tanzania imepoteza dira. Tulikuwa kimbilio la wapigania uhuru, leo tunawafukuza wapigania haki. Historia inatuangalia kwa huzuni, na kizazi cha leo kinapaswa kujiuliza: tumewaridhisha mababu zetu au tumewasaliti?

Sisi wananchi pia tunataka heshima kwenye kura tunazopiga kuchagua viongozi wetu

Ndugu msigwa kuna kitu gani serikali yenu inataka kuficha mbele jumuiya ya kimataifa kwani kuna nini kingeweza kutokea endapo mkiruhusu watu wakaja kisikiliza kes mliyo mpa mh Lisu ya uhaini wambieni wapelelez wenu wakamilishe upelelez muionyeshe dunia uhaini alio panga kufanya.

Utaheshimika ukiheshimu wenzio tu Vinginevyo jiandaeni kukutana na vibuli vya utii kila kona ANGUKO LENU LIPO KALIBU SANA KULIKO USIKU WA DENI

Mtu ako jela ana furaha kuwaliko🤣🤣🤣

Kwenye suala la Kurekebisha Mkapa, mmetia aibu sana, usijifiche kwenye hiki kichaka

Yy mbona anaenda kusuruhisha DRC yanamhusu nn? kama anataka kuheshimika aache kuua watu, kuteka na kubambika watu kesi heshima sio kuvuruga na kujifanya mbabe mwambieni walikuepo leo wako wap?
相关视频
Sensitive content
Veena expressions test
supernob123
318,465 次观看 • 6 天前
