Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

148,221 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Hilda Newton's profile picture
Hilda Newton1 year ago

Uheshimiane na nani? Hiyo heshima wewe na hao wenzako mnayo? Mnabambika Viongozi wa CHADEMA kesi halafu hamtaki watu waje kusikiliza hizi akili au matope? Kama mnaushaidi wa kutosha kwanini mnaogopa Waangalizi wa Kimataifa? Nyie na Mama yenu mmeteka Vijana wetu akina Deusdedith Soka, Jacob Mlay, Frank Mbise, Chaula, Dinioz Kipanya, Amani Manengelo na juzi memchukua Mdude Nyagali. Halafu mnataka heshima nan awape heshima wauaji kama nyinyi?🚮🚮🚮🚮

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

this beat is wild

Tito Magoti's profile picture
Tito Magoti1 year ago

Acheni ulimbukeni🚮🚮

Lab Technologist 🔬's profile picture
Lab Technologist 🔬1 year ago

kwamba mteke , nmpe uhaini ili mmunyonge then majirani wakae wamejifungia tu mtu anakufa sio☺️😄 hii nchi ya hovyo sana , harafu oktoba mkijitangaza mnataka waje kuwapongeza na washiriki shereehe ya uapisho?? SIO WAJINGA KIHIVYO

Dabantz's profile picture
Dabantz1 year ago

Kutoka kuwa taa ya Afrika hadi kuwa kivuli cha udikteta — Tanzania imepoteza dira. Tulikuwa kimbilio la wapigania uhuru, leo tunawafukuza wapigania haki. Historia inatuangalia kwa huzuni, na kizazi cha leo kinapaswa kujiuliza: tumewaridhisha mababu zetu au tumewasaliti?

mawazo tofauti's profile picture
mawazo tofauti1 year ago

Sisi wananchi pia tunataka heshima kwenye kura tunazopiga kuchagua viongozi wetu

Thadei Mhabuka's profile picture
Thadei Mhabuka1 year ago

Ndugu msigwa kuna kitu gani serikali yenu inataka kuficha mbele jumuiya ya kimataifa kwani kuna nini kingeweza kutokea endapo mkiruhusu watu wakaja kisikiliza kes mliyo mpa mh Lisu ya uhaini wambieni wapelelez wenu wakamilishe upelelez muionyeshe dunia uhaini alio panga kufanya.

king_davd_ll's profile picture
king_davd_ll1 year ago

Utaheshimika ukiheshimu wenzio tu Vinginevyo jiandaeni kukutana na vibuli vya utii kila kona ANGUKO LENU LIPO KALIBU SANA KULIKO USIKU WA DENI

FREE NATION.'s profile picture
FREE NATION.1 year ago

Mtu ako jela ana furaha kuwaliko🤣🤣🤣

Polycarp The Bibliophile's profile picture
Polycarp The Bibliophile1 year ago

Kwenye suala la Kurekebisha Mkapa, mmetia aibu sana, usijifiche kwenye hiki kichaka

Mr Honest 💸's profile picture
Mr Honest 💸1 year ago

Yy mbona anaenda kusuruhisha DRC yanamhusu nn? kama anataka kuheshimika aache kuua watu, kuteka na kubambika watu kesi heshima sio kuvuruga na kujifanya mbabe mwambieni walikuepo leo wako wap?

Related Videos

Kevin (kev.uhn)
0:20

Sensitive content

Kevin (kev.uhn)

cove of adonis

7,846,633 views • 5 days ago