Loading video...
Video Failed to Load
Tulia watesi wakunyooshe.๐๐๐
66,275 views โข 2 years ago โขvia X (Twitter)
10 Comments

Dr Calipso2 years ago
๐๐ Huyu jamaa ana kipaji bonge la comedian ni kubaya niku baddest ๐๐

Hilda Newton2 years ago
Yes, halafu anasema ukweli.๐

Wambura Jr2 years ago
Ndio maana jana jion kulikuwa na foleni mjini kumbe watu wanaenda leo jioni Moshi๐

Hilda Newton2 years ago
Hawataki kukamuliwa pesa zao.๐

utd.2 years ago
Jamaa anatoboa Siri za malegendary๐๐๐

Jk_Laurent๐น๐ฟ2 years ago
Mkoa wetu unaenda kubaya mno , yaani kuna ombaomba wengiii mnoo kama dodoma vile . Ole wako wakuone umeng'aa pua yako kule watakuomba hela kama vile wewe ndiyo unazitengeneza hizo fedha.

Zwangendaba wa Majimoto2 years ago
Shemeji zangu bana wana mbwembwe sana

Hilda Newton2 years ago
๐๐๐๐

Sonko Kyara2 years ago
Mjin ni mipango.... Na mipango yenyewe ndo hii.... Kuonekana tena ni mpaka siku ya Pentekoste๐

Mzungu Mweusi2 years ago
@nulphin @richiefesto 26 / 27 shwaaaa tunarudi ๐๐
