Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

95,816 views • 3 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Northern Circuit Adventure (™)'s profile picture
Northern Circuit Adventure (™)3 years ago

BLADIFAKENI

Hekimatupu's profile picture
Hekimatupu3 years ago

Kumbuka mumewe ni mkurugenzi wa Ewura jameni, hii kashfa ingemuumbua yeye na januari Makamba kwa chajuu wanachopata kutoka ktk makampuni ya uagizaji mafuta. Wako kimkakati hawa!

Doroth Smith's profile picture
Doroth Smith3 years ago

Kwani huyu tulia ni nani? Tukifunga saiku 3 kavu tukimpigia Mungu magoti kwa ajili yake. Mungu atamshindwa?

Joshua Martin Mutale's profile picture
Joshua Martin Mutale3 years ago

biblia haina mistari ya kumuombea mtu afe, laiti ungekuwepo hata mmoja ningeshinda na kukesha nikiusoma ili mungu atende

penjanite's profile picture
penjanite3 years ago

Hapa issue ni katiba mpya tu, watu wana mamlaka wanajikuta miungu

Mr. Joky wa Jock.'s profile picture
Mr. Joky wa Jock.3 years ago

Tatizo ni kulinda maovu na hayupo kutoa changamoto kwa serikali Tuna bunge na spika wa hovyo sana

Mambo_Mengi.'s profile picture
Mambo_Mengi.3 years ago

Mchango wa mtu uheshimiwe,naamini katika maelezo haya mwisho wa siku tusingekosa mawili matatu ju ya nini kinachoendelea kwenye hu mzozo wa fuel.Lakini kutokana na Bunge kuamua kuilinda serikali mambo ndo yanakuwa kama haya. My country people.hatuamki tuu?

Japhet Ibrahim (PhD)'s profile picture
Japhet Ibrahim (PhD)3 years ago

Ivi hiki kipepo cha kike magu alikitoa wapi jaman?

Mwesiga Credius's profile picture
Mwesiga Credius3 years ago

Speak the truth and be shut down in any way!!

Game_Changer🇹🇿's profile picture
Game_Changer🇹🇿3 years ago

Duuuh yaan taarifa umepewa umeitupa chooni then unasema huna taarifa 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ hii Tanzania hii litakuja kupigwa jitu lisiamini

Related Videos