Loading video...
Video Failed to Load
Tuna wakati mgumu sana.
95,816 views • 3 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

BLADIFAKENI

Kumbuka mumewe ni mkurugenzi wa Ewura jameni, hii kashfa ingemuumbua yeye na januari Makamba kwa chajuu wanachopata kutoka ktk makampuni ya uagizaji mafuta. Wako kimkakati hawa!

Kwani huyu tulia ni nani? Tukifunga saiku 3 kavu tukimpigia Mungu magoti kwa ajili yake. Mungu atamshindwa?

biblia haina mistari ya kumuombea mtu afe, laiti ungekuwepo hata mmoja ningeshinda na kukesha nikiusoma ili mungu atende

Hapa issue ni katiba mpya tu, watu wana mamlaka wanajikuta miungu

Tatizo ni kulinda maovu na hayupo kutoa changamoto kwa serikali Tuna bunge na spika wa hovyo sana

Mchango wa mtu uheshimiwe,naamini katika maelezo haya mwisho wa siku tusingekosa mawili matatu ju ya nini kinachoendelea kwenye hu mzozo wa fuel.Lakini kutokana na Bunge kuamua kuilinda serikali mambo ndo yanakuwa kama haya. My country people.hatuamki tuu?

Ivi hiki kipepo cha kike magu alikitoa wapi jaman?

Speak the truth and be shut down in any way!!

Duuuh yaan taarifa umepewa umeitupa chooni then unasema huna taarifa 🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️ hii Tanzania hii litakuja kupigwa jitu lisiamini
