Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

🎶 Tunaimani na Samia, Oyaa Oyaa Oyaaa 🎶 — Kumekucha Hapa 😂

146,433 views • 2 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

SATIVA17's profile picture
SATIVA172 years ago

Usenge kabisa huu. Nimezima tv saizi nipo kijiweni tunaijadili SIMBA.

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿's profile picture
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿2 years ago

Samia tulikuomba atuongezee eneo pale Jangwani ili tujenge uwanja wetu! Hii ni mbinu ya mapambio- hakuna tatizo kwa hili almurad tupate eneo! Na tutaendelea kumsifu hadi tupate uwanja 😅😂😂

Milestone~Otana🇹🇿's profile picture
Milestone~Otana🇹🇿2 years ago

Huu ni Upumbavu mkubwa sana huu. Taifa linaangamia chini ya mikono ya Samia huku majitu yanaimba eti tunaimani na Samia, mnaimaani Na mtu anauza nchi yenu?. Pumbavu kabisa haya, majitu mazima hovyo!. 😡😡🚮

RasoulHK🍁's profile picture
RasoulHK🍁2 years ago

Tunaimano na Samio, Oyaa Oyaa Oyaa Kwelo kwelo Kumekucho Hoku 😂

Ahmet Deniz 🇹🇷's profile picture
Ahmet Deniz 🇹🇷2 years ago

Mnageuza mkutano wa Yanga kuwa wa halmashauri ya Ccm😭😭

Mmbetta Jr's profile picture
Mmbetta Jr2 years ago

SAMIA mwenyewe akiwa kazini👇🙇🙈🙈

IN GOD WE TRUST's profile picture
IN GOD WE TRUST2 years ago

@DuniaSlaveDunia Watu wanatamani matimu haya yanajiingiza kwenye siasa siku moja zishuke daraja zipotee mana ni wanafiki na wanarudisha maendeleo ya nchi nyuma Kwa uchawa

Fred M.'s profile picture
Fred M.2 years ago

Sijawai piga kura tangu nizaliwe ila 2025, ntapiga kura kumchangua lisu na nitahakikisha na shawish washikaj zangu Tumchangue lisu. My upcoming President Tundu Antipus Lisu. Kama tuko pamoja like apa.

babu kajembe's profile picture
babu kajembe2 years ago

Yan saiv ccm kama wamechanganyikiwa mapema sana uchaguz ni mwakan jamani yan unakuta watu wapo kwenye tamasha la michezo lakini wanamuombea kula samia na kumnadi sana wamesahau malengo ya shughuli yao ujinga mwingine mpunguze

Related Videos