Loading video...
Video Failed to Load
🎶 Tunaimani na Samia, Oyaa Oyaa Oyaaa 🎶 — Kumekucha Hapa 😂
146,433 views • 2 years ago •via X (Twitter)
9 Comments

Usenge kabisa huu. Nimezima tv saizi nipo kijiweni tunaijadili SIMBA.

Samia tulikuomba atuongezee eneo pale Jangwani ili tujenge uwanja wetu! Hii ni mbinu ya mapambio- hakuna tatizo kwa hili almurad tupate eneo! Na tutaendelea kumsifu hadi tupate uwanja 😅😂😂

Huu ni Upumbavu mkubwa sana huu. Taifa linaangamia chini ya mikono ya Samia huku majitu yanaimba eti tunaimani na Samia, mnaimaani Na mtu anauza nchi yenu?. Pumbavu kabisa haya, majitu mazima hovyo!. 😡😡🚮

Tunaimano na Samio, Oyaa Oyaa Oyaa Kwelo kwelo Kumekucho Hoku 😂

Mnageuza mkutano wa Yanga kuwa wa halmashauri ya Ccm😭😭

SAMIA mwenyewe akiwa kazini👇🙇🙈🙈

@DuniaSlaveDunia Watu wanatamani matimu haya yanajiingiza kwenye siasa siku moja zishuke daraja zipotee mana ni wanafiki na wanarudisha maendeleo ya nchi nyuma Kwa uchawa

Sijawai piga kura tangu nizaliwe ila 2025, ntapiga kura kumchangua lisu na nitahakikisha na shawish washikaj zangu Tumchangue lisu. My upcoming President Tundu Antipus Lisu. Kama tuko pamoja like apa.

Yan saiv ccm kama wamechanganyikiwa mapema sana uchaguz ni mwakan jamani yan unakuta watu wapo kwenye tamasha la michezo lakini wanamuombea kula samia na kumnadi sana wamesahau malengo ya shughuli yao ujinga mwingine mpunguze
