Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Tundu Lissu Mahakamani
50,825 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

Nchi inasheria mbovu sana hii yaani mtu anakutuhumu kwa makosa ambayo ushahidi hana unawekwa gerezani kabla ya kuhukumiwa Kisha kesi inaahilishwa mara kwa mara na mwisho DPP anaondowa kesi au anashindwa kuleta ushahidi huo muda nani anamlipa mwathilika no reforms no election

Kazi wanayo hao akina KITUGA,, LISUU ni mwamba kweli kweli kwenye sheria WAJIPANGE la sivyo watakimbiaa

Hawa mawakili wa serikali, kwa kubabaika huko jalada la uchunguzi halipo kwa Dpp bado wanalo wao! Ndiyo maana wanachenga kutoa kauli iliyonyooka.

Ukiwa wakili wa serikali na mshitajiwa ni Lissu, na anajiwakilisha mwenyewe, ujue kazini kwako kuna kazi. Naona jamaa wanaitika kila wakati hata wakiwa hawajaitwa😂😂😂😂

Imegine hapo ndo tupo kwenye Mahakama za kimataifa, Dah sijui

Ila kujua sheria raha Sana duh

Hawa mawakili wa serikali kwel wanaweza kushinda lissu ?? 😂😂😂😂

Leo shule inatembezwa ndani ya mahakama 😂😂😂😂😂😂😂

Lisu anakupga spana na anakuelekeza jinsi ambavyo anatakiwa ashitakiwe

Lissu ni moto asee🔥🔥🔥🙌
