Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

192,966 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Donald Maziku's profile picture
Donald Maziku1 year ago

Tanzania bado kuna maeneo ukitumia kiswahili hawezi kueleweka, je atumie lugha ipi? mlipaswa kutoa fasili ya maneno anayozungumza sio kupotosha! Tunahitaji taifa lenye haki na usawa kwa njia ya katiba na sheria zetu.

Husnaiya's profile picture
Husnaiya1 year ago

Mungu amlaze mahali pema peponi baba wa taifa alikuwa anaona mbali

Donald Maziku's profile picture
Donald Maziku1 year ago

Magogoni sasa mmefeli, lugha ni njia ya kuwasiliana katika jamii, kufafanua jambo kwa lugha zetu za asili sio ukabila. Pia kufafanua jambo kwa kunakili msaafu wa dini yeyote sio udini. Acheni kupitosha jamii.

mgambo wa kagera's profile picture
mgambo wa kagera1 year ago

Ccm ndio inayoleta viongozi wenye ubaguzi chuki na kujali maslahi yao kwanza wananchi wamefanywa mataira ikifika uchaguz wanaonga vitenge pombe za kienyej kahawa nguo za ibda ili kuwateka wananchi 😂

mgambo wa kagera's profile picture
mgambo wa kagera1 year ago

Mbona magufuli alikuwa anaongea kisukuma

Camel's profile picture
Camel1 year ago

Mungu anahusikaje hapa ujinga mnaoupanda kwa kiburi na mamlaka uwatafune tuu.Mwacheni Mungu akupumzike ana kazi za kufanya za muhimu

Miss Rose 🌹👑's profile picture
Miss Rose 🌹👑1 year ago

Naam

jose junior's profile picture
jose junior1 year ago

Kabisa kabisa maana skuizi Mtu Yuko tayari atoe million 250 kanisani ila kusaidia kaya maskini anaona changamoto😢..

mageuzi's profile picture
mageuzi1 year ago

Acha ujinga, wanyanturu ni wangapi kwa hapa tz.mbona hujaweka ya magufuli akiongea na wasukuma?na ni wengi kuliko hao wakina tundu Ulitakiwa utafsiri ilichokisema kwa kiswahili ndio ueleweke kwenye hoja yako.

Bin Kombo's profile picture
Bin Kombo1 year ago

Democracy ni mavi kweli Lol

Related Videos