Loading video...
Video Failed to Load
Usia Wa Baba
192,966 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Tanzania bado kuna maeneo ukitumia kiswahili hawezi kueleweka, je atumie lugha ipi? mlipaswa kutoa fasili ya maneno anayozungumza sio kupotosha! Tunahitaji taifa lenye haki na usawa kwa njia ya katiba na sheria zetu.

Mungu amlaze mahali pema peponi baba wa taifa alikuwa anaona mbali

Magogoni sasa mmefeli, lugha ni njia ya kuwasiliana katika jamii, kufafanua jambo kwa lugha zetu za asili sio ukabila. Pia kufafanua jambo kwa kunakili msaafu wa dini yeyote sio udini. Acheni kupitosha jamii.

Ccm ndio inayoleta viongozi wenye ubaguzi chuki na kujali maslahi yao kwanza wananchi wamefanywa mataira ikifika uchaguz wanaonga vitenge pombe za kienyej kahawa nguo za ibda ili kuwateka wananchi 😂

Mbona magufuli alikuwa anaongea kisukuma

Mungu anahusikaje hapa ujinga mnaoupanda kwa kiburi na mamlaka uwatafune tuu.Mwacheni Mungu akupumzike ana kazi za kufanya za muhimu

Naam

Kabisa kabisa maana skuizi Mtu Yuko tayari atoe million 250 kanisani ila kusaidia kaya maskini anaona changamoto😢..

Acha ujinga, wanyanturu ni wangapi kwa hapa tz.mbona hujaweka ya magufuli akiongea na wasukuma?na ni wengi kuliko hao wakina tundu Ulitakiwa utafsiri ilichokisema kwa kiswahili ndio ueleweke kwenye hoja yako.

Democracy ni mavi kweli Lol
Related Videos
Sensitive content
Kijana mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa mkoani Kagera aliyekuwa msaidizi wa kazi wa familia ya Mbina Shimbolya iliyopo Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, anadai kulawitiwa na Yenze Mbina ambaye ni kijana wa baba wa familia hiyo baada ya kudai mshahara wake wa mwaka mmoja. #AzamTVUpdates Wahariri | Sabina Ntobi, John Mbalamwezi
Azam TV
25,084 views • 1 year ago
