Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

192,966 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Donald Maziku
Donald Mazikuvor 1 Jahr

Tanzania bado kuna maeneo ukitumia kiswahili hawezi kueleweka, je atumie lugha ipi? mlipaswa kutoa fasili ya maneno anayozungumza sio kupotosha! Tunahitaji taifa lenye haki na usawa kwa njia ya katiba na sheria zetu.

Profilbild von Husnaiya
Husnaiyavor 1 Jahr

Mungu amlaze mahali pema peponi baba wa taifa alikuwa anaona mbali

Profilbild von Donald Maziku
Donald Mazikuvor 1 Jahr

Magogoni sasa mmefeli, lugha ni njia ya kuwasiliana katika jamii, kufafanua jambo kwa lugha zetu za asili sio ukabila. Pia kufafanua jambo kwa kunakili msaafu wa dini yeyote sio udini. Acheni kupitosha jamii.

Profilbild von mgambo wa kagera
mgambo wa kageravor 1 Jahr

Ccm ndio inayoleta viongozi wenye ubaguzi chuki na kujali maslahi yao kwanza wananchi wamefanywa mataira ikifika uchaguz wanaonga vitenge pombe za kienyej kahawa nguo za ibda ili kuwateka wananchi 😂

Profilbild von mgambo wa kagera
mgambo wa kageravor 1 Jahr

Mbona magufuli alikuwa anaongea kisukuma

Profilbild von Camel
Camelvor 1 Jahr

Mungu anahusikaje hapa ujinga mnaoupanda kwa kiburi na mamlaka uwatafune tuu.Mwacheni Mungu akupumzike ana kazi za kufanya za muhimu

Profilbild von Miss Rose 🌹👑
Miss Rose 🌹👑vor 1 Jahr

Naam

Profilbild von jose junior
jose juniorvor 1 Jahr

Kabisa kabisa maana skuizi Mtu Yuko tayari atoe million 250 kanisani ila kusaidia kaya maskini anaona changamoto😢..

Profilbild von mageuzi
mageuzivor 1 Jahr

Acha ujinga, wanyanturu ni wangapi kwa hapa tz.mbona hujaweka ya magufuli akiongea na wasukuma?na ni wengi kuliko hao wakina tundu Ulitakiwa utafsiri ilichokisema kwa kiswahili ndio ueleweke kwenye hoja yako.

Profilbild von Bin Kombo
Bin Kombovor 1 Jahr

Democracy ni mavi kweli Lol

Ähnliche Videos