Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Usia Wa Baba

192,966 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Donald Maziku
Donald Maziku1 год назад

Tanzania bado kuna maeneo ukitumia kiswahili hawezi kueleweka, je atumie lugha ipi? mlipaswa kutoa fasili ya maneno anayozungumza sio kupotosha! Tunahitaji taifa lenye haki na usawa kwa njia ya katiba na sheria zetu.

Фото профиля Husnaiya
Husnaiya1 год назад

Mungu amlaze mahali pema peponi baba wa taifa alikuwa anaona mbali

Фото профиля Donald Maziku
Donald Maziku1 год назад

Magogoni sasa mmefeli, lugha ni njia ya kuwasiliana katika jamii, kufafanua jambo kwa lugha zetu za asili sio ukabila. Pia kufafanua jambo kwa kunakili msaafu wa dini yeyote sio udini. Acheni kupitosha jamii.

Фото профиля mgambo wa kagera
mgambo wa kagera1 год назад

Ccm ndio inayoleta viongozi wenye ubaguzi chuki na kujali maslahi yao kwanza wananchi wamefanywa mataira ikifika uchaguz wanaonga vitenge pombe za kienyej kahawa nguo za ibda ili kuwateka wananchi 😂

Фото профиля mgambo wa kagera
mgambo wa kagera1 год назад

Mbona magufuli alikuwa anaongea kisukuma

Фото профиля Camel
Camel1 год назад

Mungu anahusikaje hapa ujinga mnaoupanda kwa kiburi na mamlaka uwatafune tuu.Mwacheni Mungu akupumzike ana kazi za kufanya za muhimu

Фото профиля Miss Rose 🌹👑
Miss Rose 🌹👑1 год назад

Naam

Фото профиля jose junior
jose junior1 год назад

Kabisa kabisa maana skuizi Mtu Yuko tayari atoe million 250 kanisani ila kusaidia kaya maskini anaona changamoto😢..

Фото профиля mageuzi
mageuzi1 год назад

Acha ujinga, wanyanturu ni wangapi kwa hapa tz.mbona hujaweka ya magufuli akiongea na wasukuma?na ni wengi kuliko hao wakina tundu Ulitakiwa utafsiri ilichokisema kwa kiswahili ndio ueleweke kwenye hoja yako.

Фото профиля Bin Kombo
Bin Kombo1 год назад

Democracy ni mavi kweli Lol

Похожие видео