正在加载视频...

视频加载失败

192,966 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

10 条评论

Donald Maziku 的头像
Donald Maziku1 年前

Tanzania bado kuna maeneo ukitumia kiswahili hawezi kueleweka, je atumie lugha ipi? mlipaswa kutoa fasili ya maneno anayozungumza sio kupotosha! Tunahitaji taifa lenye haki na usawa kwa njia ya katiba na sheria zetu.

Husnaiya 的头像
Husnaiya1 年前

Mungu amlaze mahali pema peponi baba wa taifa alikuwa anaona mbali

Donald Maziku 的头像
Donald Maziku1 年前

Magogoni sasa mmefeli, lugha ni njia ya kuwasiliana katika jamii, kufafanua jambo kwa lugha zetu za asili sio ukabila. Pia kufafanua jambo kwa kunakili msaafu wa dini yeyote sio udini. Acheni kupitosha jamii.

mgambo wa kagera 的头像
mgambo wa kagera1 年前

Ccm ndio inayoleta viongozi wenye ubaguzi chuki na kujali maslahi yao kwanza wananchi wamefanywa mataira ikifika uchaguz wanaonga vitenge pombe za kienyej kahawa nguo za ibda ili kuwateka wananchi 😂

mgambo wa kagera 的头像
mgambo wa kagera1 年前

Mbona magufuli alikuwa anaongea kisukuma

Camel 的头像
Camel1 年前

Mungu anahusikaje hapa ujinga mnaoupanda kwa kiburi na mamlaka uwatafune tuu.Mwacheni Mungu akupumzike ana kazi za kufanya za muhimu

Miss Rose 🌹👑 的头像
Miss Rose 🌹👑1 年前

Naam

jose junior 的头像
jose junior1 年前

Kabisa kabisa maana skuizi Mtu Yuko tayari atoe million 250 kanisani ila kusaidia kaya maskini anaona changamoto😢..

mageuzi 的头像
mageuzi1 年前

Acha ujinga, wanyanturu ni wangapi kwa hapa tz.mbona hujaweka ya magufuli akiongea na wasukuma?na ni wengi kuliko hao wakina tundu Ulitakiwa utafsiri ilichokisema kwa kiswahili ndio ueleweke kwenye hoja yako.

Bin Kombo 的头像
Bin Kombo1 年前

Democracy ni mavi kweli Lol

相关视频