Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Vijana tupewe nini tena?
97,986 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Tusisahau kuwa kuteseka sio sifa jamani👐

🇺🇸 One Nation, under Trump, Stronger THAN EVER. Are you Trump Tough? 💪Tough T's Here:

Asa hapo si ndo uzito zaidi kuliko kubeba mikononi au kichwani… mabega ni laini na nyama nyingi

Tutofautishe mazingira ya mjini na kijijini, tutofautishe mtu wa mjini na kijijini, tutofautishe shughuli za mjini na kijijini. Tusimpime mwanamke wa mjini na wa kijijini kutaka wafanane kama hivi, na tuelewe mke mwema hapimwi kwa vitu hivi, hata wahuni wanaweza kuigiza haya.

Haya ni madhara ya utawala wa serikali hicho sio kitu cha kufurahisha kabisa. Akifikisha miaka 50 ataambiwa pingili za mgongo zimesagika lakini angekuwa na bomba ndani au nyumbani kwake hiyo adha asingeijua. Ndio maana nasemaga viongozi wa Afrika waliumbwa na shetani sio Mungu.

Na unadhani anafanya hivi cause anapenda hayo msisha?! So, akajipata, akaweka maisha yake vizuri na kutofanya hivi tena atakuwa sio pisi?

Anajituma alivyorusha hilo dumu ka kweli limejaa maji kuna baadhi ya wanaume hawawezi....hata kubeba hvyo na akawa comfort hvyo

It's much better to marry such a lady than those university graduates 💯

Uwez ski kajifungua kwa kupasuliwa uyu

Huyu hawez hata kumeza P2 wala vidonge vya uzazi, kizazi chake kipo karibu sana, wala hawez kuwaza kutoa mimba, ni mama bora

Huyu bint kalelewa vizuri. Anafaa kuitwa wife material baadae.
Ähnliche Videos
Ukipata mtoto mzuri anayedeka kama hivi utataka nini tena ? 😁
Swed Junior
175,400 Aufrufe • vor 1 Jahr

