Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Mwamba kasema wewe tena unabisha nini ?

61,796 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля MASOUD MAMBO
MASOUD MAMBO2 лет назад

Msigwa tumekuacha kwa muda mrefu, naona kama unaanza kujiona mshindi. Nihivi Mzee em jitahidi kuchanga karata zako vzuri ukiendelea kuropoka bila mpangilio tunaanza kuruka na wewe rasmi

Фото профиля the deo
the deo2 лет назад

Msingwa bwana anajitahidi kua watu wamuelewe..ila ni kazi sana ..na haijitokea watu kumueleza shida anaongea kwa hasira nyingi na kwa fitina..Mungu atamlipa hakika

Фото профиля Antigon FM
Antigon FM2 лет назад

Hata wewe unakiri kuwa ni mwambaa? Mnatafuta endosement yake kama dhahabu vile. Mwenzio akiwa amekuzidi kubali, usijifanye huoni au uko sawa naye na kuanza kumsimanga.

Фото профиля Justine Robert
Justine Robert2 лет назад

Ulishawahi kusoma mambo ya nyakati ??!! Kinachokutesa wanaNchi hata hao CCM wanakupuuzia tuu , tumikia kwanza pesa zao ulizokuwa unakula then utaeleweka utatumikishwa mpaka ukome shahidi ni Msukuma.

Фото профиля Amba
Amba2 лет назад

@ccm_tanzania mpeni ilani ya ailewe vizur mwendo huu hauwezi kumshawishi mtu akubaliane na mawazo yake ya mbowe na chadema watu wanataka kujua chama kilichopo madarakani kinafanya nini kimefanya nini sio habar za chadema.

Фото профиля 🫵🏼
🫵🏼2 лет назад

Mwamba tuko naye sana mpaka nchi hii ipate uhuru kamili

Фото профиля Alfred D. Pigangoma
Alfred D. Pigangoma2 лет назад

Hata kama ni fala basi ficha kidogo sura yako kwani mbeleni kuna aibu! Uteuzi hauji kwa njia za kijinga kwa mjinga kama wewe!

Фото профиля Askofu JANABI
Askofu JANABI2 лет назад

Nasikia ulikurupuka uliposikia kuna reshuffle ya mawaziri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe unatumika tu kama condom au big G 🤣🤣🤣🤣 mwanaume mzima kila kukicha unamuongelea mwanaume mwenzio. Kwani umehamia chama la machoga aka mashosti 🤣🤣🤣🤣

Фото профиля Camel
Camel2 лет назад

Kumbe unamwita Mwamba ila una tatizo la Afya ya akili. Wewe mchungaji mchonganishi,mwongo,mfitini,mwenye chuki,mwenye visasi,na sasa umeungana na waovu. Achana na kazi ya Mungu haijitaji hayo ili uache waumini wamtafute Mungu wa kweli pahala pengine.

Фото профиля Obadiah
Obadiah2 лет назад

Mbona siku zinasogea halafu mission yako haitimii!!! Ujue mda unaisha siunaona hata kwenye pdf hii umekosa ikifika ya 3 bora tutakufurusha na mbaya CDM hawatakupokea tena sijuhi utarudi tlp?? Ile influence uliyokuwa unatambua nayo iko wapi sasa?

Похожие видео