Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mwamba kasema wewe tena unabisha nini ?

61,796 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

MASOUD MAMBO's profile picture
MASOUD MAMBO2 years ago

Msigwa tumekuacha kwa muda mrefu, naona kama unaanza kujiona mshindi. Nihivi Mzee em jitahidi kuchanga karata zako vzuri ukiendelea kuropoka bila mpangilio tunaanza kuruka na wewe rasmi

the deo's profile picture
the deo2 years ago

Msingwa bwana anajitahidi kua watu wamuelewe..ila ni kazi sana ..na haijitokea watu kumueleza shida anaongea kwa hasira nyingi na kwa fitina..Mungu atamlipa hakika

Antigon FM's profile picture
Antigon FM2 years ago

Hata wewe unakiri kuwa ni mwambaa? Mnatafuta endosement yake kama dhahabu vile. Mwenzio akiwa amekuzidi kubali, usijifanye huoni au uko sawa naye na kuanza kumsimanga.

Justine Robert's profile picture
Justine Robert2 years ago

Ulishawahi kusoma mambo ya nyakati ??!! Kinachokutesa wanaNchi hata hao CCM wanakupuuzia tuu , tumikia kwanza pesa zao ulizokuwa unakula then utaeleweka utatumikishwa mpaka ukome shahidi ni Msukuma.

Amba's profile picture
Amba2 years ago

@ccm_tanzania mpeni ilani ya ailewe vizur mwendo huu hauwezi kumshawishi mtu akubaliane na mawazo yake ya mbowe na chadema watu wanataka kujua chama kilichopo madarakani kinafanya nini kimefanya nini sio habar za chadema.

🫵🏼's profile picture
🫵🏼2 years ago

Mwamba tuko naye sana mpaka nchi hii ipate uhuru kamili

Alfred D. Pigangoma's profile picture
Alfred D. Pigangoma2 years ago

Hata kama ni fala basi ficha kidogo sura yako kwani mbeleni kuna aibu! Uteuzi hauji kwa njia za kijinga kwa mjinga kama wewe!

Askofu JANABI's profile picture
Askofu JANABI2 years ago

Nasikia ulikurupuka uliposikia kuna reshuffle ya mawaziri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe unatumika tu kama condom au big G 🤣🤣🤣🤣 mwanaume mzima kila kukicha unamuongelea mwanaume mwenzio. Kwani umehamia chama la machoga aka mashosti 🤣🤣🤣🤣

Camel's profile picture
Camel2 years ago

Kumbe unamwita Mwamba ila una tatizo la Afya ya akili. Wewe mchungaji mchonganishi,mwongo,mfitini,mwenye chuki,mwenye visasi,na sasa umeungana na waovu. Achana na kazi ya Mungu haijitaji hayo ili uache waumini wamtafute Mungu wa kweli pahala pengine.

Obadiah's profile picture
Obadiah2 years ago

Mbona siku zinasogea halafu mission yako haitimii!!! Ujue mda unaisha siunaona hata kwenye pdf hii umekosa ikifika ya 3 bora tutakufurusha na mbaya CDM hawatakupokea tena sijuhi utarudi tlp?? Ile influence uliyokuwa unatambua nayo iko wapi sasa?

Related Videos