Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

20,335 views • 1 year ago •via X (Twitter)

7 Comments

chabu's profile picture
chabu1 year ago

Nakumbuka my mother use to say, every morning you wake up .. the first duty of your new day ni kutandika kitanda baada ya kusali.

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

space meets sound

Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱's profile picture
Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱1 year ago

Amina baba askofu. Nimeoa binti miaka 25 sasa namfundisha kutandika kitanda na kupika. Nilishituka maana ni familia zenye maisha ya kawaida

eliah lameck's profile picture
eliah lameck1 year ago

Mwanahawa ally ~ viumbe wazito🤣🤣🤣

filbert CHADEMA's profile picture
filbert CHADEMA1 year ago

Kachanganya huko na kichaga 😅🙌

Julius Marijani's profile picture
Julius Marijani1 year ago

Wengine wana degree wanataka kuolewa na hawajuhi kupika.

Daniel Subeth's profile picture
Daniel Subeth1 year ago

Ameni 🙏

Related Videos

TAARIFA Alafu UVCCM machawa comments mnazopewa na Abdul haziwasaidii ndo mnazidi ku rpove kuwa ninachoandika kinawatisha - “unajipotezea heshima au credibility” - sawa sasa mniache nijimalize! Hamuwezi kuninyamazisha maana mi nimekuwa consistent na kusema na kupost mengi ambayo mlisema hivi ikaja kuwa kweli ndo maana hadi sasa post zangu zinasomwa na watu wazito dunia nzima! Tulieni - “ nipo hapa hakuna kitu” - leta picha yako weka live nje ya hapo mlisema huvu hadi Okt 29 tushawazoea hamuaminiki - matusi - hii ndo kabisaaa mi sugu haswa - uwe na mkakati - tunayo na GenZ ila hatuweki hadharani tena! Na tunachofanya ni kujaribu kuona what works! 👊🏽 acha ikae hivyo! Ila hawa vijana hawatakaa watulie! Ila kwa sasa nitawasaidie kuwa front kupost msije makawateka na kuwaua! Nitawalinda! Na katika kulinda sources zangu ndo maana nina source hadi kwa genge la Abdul na Ikulu ila mi huwa siweki kila kitu 😀yaani ni maktaba na track records zaidi ya CIA tulieni! Ila endeleeni kuniona kama lofa 💪🏽 Mwisho kabisa kwa WANANCHI wote nawahakikishia based on sources zangu kwa level mbalimbali HAWAWEZI KUPIGA RISASI TENA KAMA OKT 29 na wanawaogopeni wananchi kuliko maelezo! Walichobaki ni kufanya ni psychological war ili mnunue woga! Na watateka na kuua kimyakimya zaidi! Mtakuja na free free ila bila kuamka hawataacha! Hii ninawapa garanti 💯! Chaguo ni lenu! Na watateka wafanyabiashara, wafanyakazi wa umma, wananfunzi hata Polepole style viongozi wa CCM Mi nipo na nitakuwepo 👊🏽🔥 kuna siku mtakuja kusema kama ikivyokuwa mara nyingi “ulituambia Shangazi hatukukuelewa! Na mtashangaa why mlikuwa mnawaogopa hawa wauaji washenzi! Wameshatepeta! Machawa wangejiamini wangekuwa wachache kama Okt 29 na wauaji wangejaa! Sasa hakuna hata polisi wamejaa machawa kuwajazeni woga - tunajichelewesha tu! Gen Z ndo kizazi cha kipekee hakijakata tamaa na msikatishwe tamaa ✊🏽 Haya tuendelee na maandamano bila kikomo #J1 #tumeshinda🇹🇿 #SamiaMustGo

Maria Sarungi Tsehai

19,561 views • 5 months ago

VIDEO: Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania Azim Dewji, amepongeza juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha ujio wa viongozi wa kimataifa wakiwemo karibu Marais 30 na wageni mashuhuri zaidi ya 20 katika mkutano mkubwa wa nishati utakaofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Januari 27 na 28, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari, Dewji amesema ujio wa viongozi hao ni heshima kubwa kwa Tanzania na ni fursa ya pekee kwa Watanzania kufurahia mafanikio ya uongozi wa Rais Samia. "Tumepata taarifa na tumeangalia kwenye TV kwamba tutakuwa na wageni karibu Marais 30 na watu wengine wazito 20. Kwa hili ninampongeza Rais Samia kwamba ni jambo kubwa sana, na Watanzania wote tufurahi. Sidhani kama kuna nchi nyingine ya Afrika, isipokuwa Umoja wa Afrika, inayoweza kuandaa tukio la kiwango hiki. Hii ni heshima kubwa sana Watanzania tumepata," amesema. Dewji amekumbuka mkutano kama huo uliofanyika wakati wa utawala wa Rais Benjamin Mkapa, akisema kwamba wakati huo idadi ya marais waliokuja ilikuwa ndogo ikilinganishwa na sasa. "Ninakumbuka wakati wa Mkapa kulifanyika mkutano kama huu, lakini walikuwepo Marais kama 14. Safari hii ni mara mbili zaidi. Hii inaonyesha ni kiasi gani Tanzania imekuwa na ushawishi mkubwa," amesema. Dewji amesisitiza kuwa ujio wa viongozi hao unatokana na hali ya usalama na amani inayotawala nchini, ambayo ni matokeo ya mshikamano wa wananchi na uongozi madhubuti wa Rais Samia. "Marais wanapokuja huwa wanaangalia kama nchi ina usalama, ina amani na utulivu. Haya yote ni matokeo ya sisi wananchi na viongozi wetu. Tuendelee kuwa na amani ili nchi yetu iendelee kuheshimika," ameongeza. Kwa mujibu wa Dewji, juhudi za Rais Samia za kuimarisha uchumi na diplomasia zimevutia viongozi wengi wa kimataifa, ambao wanataka kujifunza na kuiga mbinu bora zinazotumika nchini Tanzania. "Uongozi wa Rais Samia umewavutia Marais wengi waje kuhudhuria na kuangalia namna anavyofanya kazi. Si ajabu wakaja kuiga kile ambacho kinafanyika hapa kikafanyika kwao," amesema Dewji. Mkutano huu wa nishati unatarajiwa kuwa mojawapo ya matukio makubwa ya kimataifa kuwahi kufanyika nchini Tanzania, huku ukitazamiwa kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kimataifa katika sekta ya nishati.

Jambo TV

11,995 views • 1 year ago

✨ Introducing Pixelverse Perpetual Staking Following the successful launch of the PIXFI token and in anticipation of the Pixelverse web browser game release in August, we are pleased to announce the opening of the first phase of PIXFI staking, starting today at 3 PM UTC. 🎁 In Stage 1 of Pixelverse staking users will receive lootboxes which contain different types of valuable in-game assets: Common Lootbox: Food and drinks, Resource Kit Uncommon Lootbox: Clothes, Buddy Bot, Food and drinks, Resource Kit Rare Lootbox: Rare Clothes, Rare Bot, Bot Upgrade Box Epic Lootbox: Epic Clothes, Epic Bot, VIP-Mogul, VIP-Boost Legendary Lootbox: Legendary Clothes, Exclusive masks, Real Estate Voucher. 💎 Items from Legendary lootboxes are exclusive to Staking. It means that this is the only place to get limited apartment and penthouse vouchers, which can earn you rental income in the future game. 👾 This is the first stage of our staking program, distributing high-value in-game assets. ⭐️ Pixelverse staking is perpetual, meaning you only need to stake once to receive rewards from the entire Pixelverse ecosystem in future staking stages. 🌌 Future stages will focus on rewarding stakers from the Pixelchain and the broader Pixelverse Multiverse. 🖼️ Reminder for all our early adopters: Anyone who received Rare, Epic, and Legendary NFTs in Pixeltap and Dashboard can transfer their $PIXFI tokens to Staking with zero gas fees and multiply their rewards. #PIXELVERSE $PIXFI

Pixelverse

7,465,804 views • 1 year ago