正在加载视频...
视频加载失败
Waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa
68,711 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 @tanpol wanakwambia watashauriana na mamlaka husika kuona hatua za kuchukua Yani watu wanaonekana live si kuwatafuta majumbani na kuwakamata huo si ni uhalifu?

Jeshi police la Afghanistan ni taasisi ya kipumbavu sana....

Anayesema ni waarabu nani? Mimi nikikuwepo uwanja wa taifa na nimejisikia vibaya sikuweza kumpapasa mwarabu hata mmoja. Jamaa hawawezi kutuletea dharau tupo kwetu NEVER!!' Na wasipokuwa makini kuna siku watauawa ugenini. Hamuwezi kuwa arrogant kiasi kile mpo ugenini.

Simba wanatuona sisi wajinga

📷 A tough day in the jungle—how does this sloth overcome it? The twist you didn’t see coming

Rage aje afute laana yake ya kuwaita hawa jamaa mbumbumbu,akili za kidunduka hizi

Mbona wanaorusha sio waarabu?? Au waarabu ni wenye nyekundu

Huyo ni mwaarabu tena kiti cha bluu

Kwa kweli inasikitisha sana kuona kijana wangu mpuuzi kabisa @Baopanther976 yupo kimya hadi muda huu ila anahangaika na mbowe

Waarabu waking'oa viti na kuwashambulia Mashabiki wa Simba 😂
