正在加载视频...
视频加载失败
WATANZANIA WAPO TAYARI. #NoReformsNoElection
21,006 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
5 条评论

Muka Mtambo🇹🇿1 年前
Wapo tayari na mtu anakamatwa kama kibaka wanaangalia tu ? Wananchi hawana muda wa kusikiliza matapeli na vibaraka wa Tanzania wanajitambua sana

𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿1 年前
Mhhh

ADDAE ADU ADEKORAFO1 年前
Wapo tayari kyk nini kama Makamu Mwenyekiti anachukuliwa wao wanatazama tu.

fw1 年前
watanzania wapi ??😀😀😀acheni kutusemea hatuambatani na huo uhuni wenu

Rashid Mugheiry1 年前
Sasa ndio kaongea nini
