
Joel Msuya
@JoelyMsuya • 11,888 subscribers
Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA taifa || Katibu wa BAVICHA mkoa wa ILALA || Activist & Human Right Defender || Politician || Raisi wa Tanzania 2055
Videos

“Mnasema mpo kwenye mapendano, huyu mama ni mzuri huku anaua watoto wenu. #DeusSoka yupo wapi mpaka leo?” Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Tundu Antiphas Lissu akizungumza kwenye hafla fupi kwaajili ya kumpongeza kwa ushindi iliyoandaliwa na vijana.
Joel Msuya65,706 views • 1 year ago

Dunia imeanza kuitangaza Tanzania dhidi ya uonevu na ukatili wa haki za binadamu unaofanywa kwa kumpa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe. Tundu Antiphas Lissu kesi ya mchongo ya uhaini. Raisi Samia Suluhu hiki ndicho unachokitaka kwamba Tanzania ichafuliwee kimataifa? #FreeTunduLissu
Joel Msuya45,888 views • 1 year ago

Hii NGUVU ya ushawishi aliyonayo TUNDU LISSU ndio inayoogopwa na watawala. #FreeTunduLissu
Joel Msuya34,178 views • 1 year ago

Agenda ya #NoReformsNoElection imewakabia SISIEMU kwa juu sana hawana njia nyingine zaid ya kutumia polisi.Polis wanapewa taarifa kwamba CHADEMA itakuwa na mkutano KARIAKOO siku 6 zilizopita alafu wanakuja kuzuia siku ya mkutano Makamu John Heche anawapeleka speed sana #FreeHeche
Joel Msuya24,343 views • 1 year ago

WARAKA WA KKKT IBADA YA IJUMAA KUU KITAIFA:- Sikiliza waraka wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) leo ktk ibada ya ijumaa kuu. Waraka ambao umesomwa na Askofu Jacob Ole Mameo wa KKKT Dayosisi ya Morogoro. “Wanaoteka watu watalipia” “Watawala wakubali kukosolewa”
Joel Msuya21,404 views • 1 year ago

Mimi ni mwanageuzi wa miaka yote, mwanaharakati wa miaka yote. Kwahio hilo wazo, wazo tu kwamba naweza nikaenda CCM halipo, hawa hawa hawa madalali hawa” 😂 Mtia nia wa nafasi ya Uraisi wa JMT 2025 kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Antiphas Lissu akihojiwa na Edwin Odemba Star Tv hii leo.
Joel Msuya25,879 views • 1 year ago

“Wenzetu wa CHADEMA wanasema #NoReformsNoElection wapo hata baadhi ya wana CCM nao wanasema #NoReformsNoElection lakini wamejificha hawataki waonekane” Askofu Jacob Ole Mameo wa KKKT Dayosisi ya Morogoro akisoma WARAKA wa KKKT leo katika ibada ya IJUMAA KUU kitaifa.
Joel Msuya11,617 views • 1 year ago