Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Watoto washatoka magetoni
32,998 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Wanavuta gundi wanajikuta ma badmento yan sijui wajichanganye fyee watarudi timamu na hshima kama wasabato kuna viwili niliwahi kubizibua nikaviambia nawaonya

Hawa madogo wapo pale msibazi b kituoni wapo wengi sna wanavuta gundi za viatu hizo wanalewa ndo kama hvyo wanalopoka tu na wapo wengi

Nikikamata hata mmoja ntatia bakora hapo akili imkaee sawa

Huwaga naumia sana nkiwaona vijana wadogo kama hivi wanapoteza dira zao

Watoto? Panya Road? Vibaka? Sijui...

Hao Madogo ni hatari sana humo kwenye makopo usije zani soda hizo.hizo gundi wadogo wanaranduka kishenzi hawa

Hasa mbona wanahamasisha halafu wanakatisha tamaaa hapo hapo kwa wakati mmoja

Shetan amewin pakubwa sanaa mpaka sasa

Uwo umri nimapema Sana kutoka magetoni Ila siyo mbaya Sir God awaongoze njia njema nimtiani tunawapitia

Huyo charii mwenye t shirt ya blue anapiga gundi knoma !! Mungu amsaidie atoke uko mapema
