Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

๐Œ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐›๐ž๐ง๐ค๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐๐๐‚ ๐Š๐ข๐ ๐š๐ง๐ฃ๐š๐ง๐ข. Huna haja ya kwenda kwenye matawi yetu ili kufungua Akaunti ya NBC. Fungua Akaunti ya NBC mwenyewe kwenye NBC Kiganjani na uanze kufanya miamala hapo hapo.

951,672 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Shusha App kutoka App Store au Play Store ule mema ya NBC Kiganjani.

Fitina kwangu mwiko's profile picture
Fitina kwangu mwiko1 year ago

Yaani nijialaumu kujiunga na nbc kiganjani yaani kila mwezi tzs 1,500 inakatwa kwenye account sababu ninkutumia hio mfumo

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Habari, Asante kwa kutuandikia. Kwa gharama hiyo unaweza angalia salio na taarifa fupi ndani ya mwezi mzima mara nyingi uwezavyo.^AM

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Naomba nitumie inbox Majina, Nida namba, Namba ya simu na taarifa unayopata wakati inakataa.^AM

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Naomba nitumie inbox, majina, nida namba, namba ya simu na taarifa unayopata wakati inakataa.^am

kAi's profile picture
kAi1 year ago

Would this work for diaspora? Has wale unfortunately hawana NIDA ila wana Passport Mpya. Asante

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Hello, Thank you for contacting NBC . Kindly use to open account for Diaspora customers. Mandatory ID is passport .^AM

XF-2821's profile picture
XF-28211 year ago

Hamjajipanga, kaanzeni upya server yenu ya mchongo

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Habari, Asante kwa kutuandikia. Naomba kujua changamoto uliyopata.^AM

Dr.Of Pharmacy's profile picture
Dr.Of Pharmacy1 year ago

Inagomagoma

NBCTanzania's profile picture
NBCTanzania1 year ago

Habari, Asante kwa kutuandikia. Naomba kujua changamoto uliyopata.^AM

Related Videos

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Lazaro Twange , kwenda kuhakikisha anasimamia miradi yote ya usambazaji umeme inayosuasua ili iende kwa kasi akisema nchi ina umeme wa kutosha ila kuna changamoto ya usambazaji kwenda kwenye baadhi ya maeneo. Akiongea Ikulu Jijini Dar es salaam leo May 24,2025 wakati akiwaapisha Viongozi wateule, Rais Samia amesema โ€œโ€œLazaro Twange uliyekuwa DC Ubungo, nimetazama CV yako nikaona ulishapita kwenye Mashirika ya Umma na unajua yanavyoendeshwa, nimekupeleka kwenye Shiria ambalo ni security ya nchi yetu (TANESCO) na hii baada ya mchujo mkubwa kuangalia uwajibikaji, uzoefu na mambo yote umeibuka kwamba unaweza kushika Shirika hiliโ€ โ€œShirika hili ndio usalama wa nchi kwasababu umeme ndio kila kitu, chukulia mfano umeme uzimwe sio maeneo ya uchumi, maeneo ya Wananchi tu wakose umeme siku mbili siku tatu kelele ya kisiasa itakayopigwa hapo, sasa chukulia upande wa maeneo ya uchumi umeme ukikosekana uchumi wa nchi unazorotaโ€ โ€œTumefanya jitihada kubwa kama Serikali kuweka uzalishaji wa umeme kwenye vyanzo kadhaa, tuna Bwawa la Nyerere ambayo ndio roho yetu, nikuombe sana tuna umeme wa kutosha, Chalinze pale tunaingiza umeme wa kutosha tatizo tulilonalo n usambazaji kwenda kupeleka Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini sijui Magharibi ya nchi, miradi ipo lakini kumekuwa na kusuasua kwa kuanza kwa miradi kaangalie kahakikishe miradi hiyo inafanyika , kupeleka umeme kutoka kwenye gridi sehemu hizoโ€ โ€œKuna vyanzo vidogo vinavyotoa umeme maeneo kadhaa Tanzania na yenyewe ukayatupie jicho vizuri lakini tuna ongezeko la uwekezaji nchini wote hawa viwanda vinataka umeme wa uhakika ili wazalishe na kukuza uchumi wetu, kwahiyo una kazi kubwa Ndugu yanguโ€ #MillardAyoUPDATES

millardayo

13,559 views โ€ข 1 year ago

Mfumo wa mawasiliano wa Serikali wa eMrejesho toleo la pili (eMrejeshoV2) kutoka Tanzania, umechaguliwa kuwania Tuzo za Mkutano wa Dunia kuhusu Jamii ya TEHAMA mwaka 2025 (World Summit on the Information Society -WSIS 2025). Mfumo huo umechaguliwa katika kipengele cha Serikali Mtandao (e-Government AL C7), ikiwa ni miongoni mwa mifumo 360 ya TEHAMA iliyofuzu hatua ya mchujo kutoka kwa zaidi ya maombi 1000 ya mifumo ya kidijitali yaliyowasilishwa kutoka mataifa mbalimbali duniani Tunaomba uupigie kura mfuno huu iki nchi yetu iweze kushinda na mwisho ni tarehe 30 Aprili 2025 saa 6:00 usiku, Jinsi ya Kupiga Kura 1. Tembelea Tovuti Rasmi ya WSIS Prizes ya 2. Ingia au Jisajili. - Kama tayari una akaunti ya WSIS ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ผ๐—ด ๐—ถ๐—ป na ingiza taarifa zako. - Kama huna akaunti, bonyeza โ€œ๐—ฅ๐—ฒ๐—ด๐—ถ๐˜€๐˜๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฎ๐˜€ ๐—ฎ ๐—ป๐—ฒ๐˜„ ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟโ€ kisha jaza fomu ya usajili 3. ๐—™๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—™๐—ผ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฟ๐—ฎ (๐—ฉ๐—ผ๐˜๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—™๐—ผ๐—ฟ๐—บ) Ukishaingia kwenye mfumo, nenda kwenye sehemu ya "๐—ฉ๐—ผ๐˜๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—™๐—ผ๐—ฟ๐—บ.โ€ 4. ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ด๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ต๐—ถ Kutoka kwenye menyu ya kushuka (dropdown), ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ด๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฒ๐—š๐—ผ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜ ๐—”๐—Ÿ ๐—–๐Ÿณ 5. ๐—ž๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฃ๐—ถ๐—ด๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—œ ๐—ฝ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฒ๐— ๐—ฟ๐—ฒ๐—ท๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—ฉ๐Ÿฎ Pitia orodha ya miradi ndani ya kategoria hiyo ya eGovernment AL C7 hadi uione ๐—ฒ๐— ๐—ฟ๐—ฒ๐—ท๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—ฉ๐Ÿฎ kisha bonyeza ๐—ฉ๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—™๐—ผ๐—ฟ ๐—ง๐—ต๐—ถ๐˜€ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ๐—ท๐—ฒ๐—ฐ๐˜ iliyo pembeni ya jina la mradi. #eMrejesho_V2_SautiYetu_Maendeleo_Yetu #Turudi_na_Tuzo_Nyumbani #WSIS

Mamlaka ya Serikali Mtandao

359,235 views โ€ข 1 year ago

AIBU YA MWAKA HUKO RUSIA KWA MWENYE PhD 8 SWALI ALILOULIZWA SAMIA KWA MARAISI WA CCM NI MPAKA au NYERERE TU WANGETOBOA. Samia ameulizwa swali na mwandishi wa Habari wa Russia, tena kwenye mkutano ambao uko chini ya control ya serikali au Putin. Swali limeulizwa: 'Sisi tunafanyaje maendeleo na ushirikiano wakati kuna vikwazo?' Wakati swali linaulizwa, unaona Putin anatabasamu kwa bashasha kubwa, maana hapo ndipo Putin alitaka kujua: 'Hapa tuna rafiki au msanii tu?' Malengo ya lile swali hili ilikuwa ni Samia ongee akiwa kwenye ardhi ya Russia na kupeleka moto mkali kwa Marekani na Ulaya. Haya ni maswali ya kijasusi, si maswali ya moja kwa moja kujibiwa kienyeji kama alivyofanya, akaanza kulia kwamba ana uhusiano na Ulaya hakuna vikwazo. Hahaha, Putin yeye hana la kumtisha na Ulaya au Marekani, alitaka sasa aone Samia akijitoa kwenye network na kuongea kama kiongozi wa Korea Kaskazini na kujipiga kifua kwamba sisi vikwazo siyo kitisho kwetu, tuko huru, bla bla, tunasimama wenyewe, hatutaki kuingiliwa. Hayo ndiyo majibu Putin alikuwa anasikiliza, sababu kwa mazungumzo ya chumbani, Samia najiona mwamba kwamba yeye atishiki. Sasa walimtia pale kwenye ubao aongee tena hayo anayosema. Akashindwa, na mbaya zaidi, akabadilisha na lugha kabisa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili. Kwa wenye akili kama ya Putin, washajua kwamba hapo hakuna mtu ni msanii tu anasaka pesa, Putin sio boya alisha mseti aseme mbele ya Dunia. Swali lenyewe liliunganishwa kwenye angle ya Ukraine, kama angekuwa na akili kidogo kusoma chumba, angesoma kwamba hapo ni wakati wa kuchagua mchumba mmoja, Rusia au Magharibi, akaamua kutembelea vyombo vyote. Kitu ambacho hakimsaidi ni kwamba kuwa na Putin tu pale ni kimeo. Putin kweli, malengo yake yametimia, wewe mwenye PhD 10 umeshindwa kuelewa walioulizwa nini. Anaruka akisema mimi sina vikwazo. Mwandishi wa Habari wa Urusi ametumwa na serikali ya Urusi, wanajua vikwazo vyanavyo, sasa unaambiwa na Urusi una vikwazo, wewe unamkatalia KGB? Wao wanafanyia kazi mambo ya mbele, wamesha confirm kwamba unapigwa vikwazo kila kona, unakana? Kwa kifupi, Rusia walikua wanamwambia Samia: kwamba wewe una vikwazo tayari je tunasonga vipi mbele na wewe? Kama uwezi kukoma kwenye mazingira ya vikwazo hatuna cha kufanya na wewe, na Samia ameshindwa kuonyesha mkakati alionao ili kufanya ushirikiano akiwa na vikwazo. Kwa Dunia ya sasa hakuna Kiongozi yeyote anayekwenda Rusia kwa sasa ambayo bado anapambana kuwa na mahusiano na Ulaya na Marekani, unapo chagua ushirika na Rusia unaachana na ushirikiano na Mataifa hayo mengine, haiwezekane ukalamba kotekote sababu hali ya sasa Dunia inakataa kutokana na Rusia kuwa kwenye mgogoro wa Kijeshi na hayo mataifa mengine. Hivi inawezekana vipi Ulaya wakaachana mpaka na nishati ya Gas ya kutoka Rusia wananchi wao wakateseka, halafu Tanzania ikaenda Rusia kufanya biashara na Mrusi kisha Tanzania hiyo hiyo ikaenda Ulaya na Marekani kufaidia na misaada na biashara pia ? Huu ujinga mbona ni wa kiwango cha lami? Matarajio ya kila mtu ilikuwa ni hii safari ya maCCM huko Rusia ni kufunga ndoa na Rusia na kuachana na Magharibi yenye masharti mengi ya haki za binadamu na demokrasia kwamba hii ndio ilikuwa point ya safari . Kwa hiyo Suala la vikwazo lilikuwa si la kukana; lilikuwa la kuelezea yeye, Samia, anapitisha vipi serikali ya CCM kwenye hivyo vikwazo au anakomaa vipi kwenye ushirikiano wake na Russia wakati huo akiwa na vikwazo hapo Putin angepima kama amepata mdau. Akili zimeganda, mnakomalia madaraka. Unakubali kwenda kuongea mbele ya media za nchi zinazosoma usichosema. Rusia ni majasusi wanajua vizuri Tayari ni suala la muda tu kina umma vikwazo vinakuja, sasa unawabishia Rusia wanajua nini kilitokea Tanzania, Lakini wanajua mambo ambayo Samia amezungumza baada ya kufanya mauaji ( nimeweka video moja hapo chini) , Nchi kama Rusia unapokwenda wanakuchungulia kwa darubini , KGB wanafanyakazi yao vizuri kujua mgeni ni wa aina

Think Different

94,594 views โ€ข 1 month ago