ะ—ะฐะณั€ัƒะทะบะฐ ะฒะธะดะตะพ...

ะะต ัƒะดะฐะปะพััŒ ะทะฐะณั€ัƒะทะธั‚ัŒ ะฒะธะดะตะพ

ะะฐ ะณะปะฐะฒะฝัƒัŽ

๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹ #๐‚๐€๐…๐‚๐‹ ๐˜๐Ž๐”๐๐† ๐€๐…๐‘๐ˆ๐‚๐€๐๐’ ๐’๐‚ ๐Š๐ˆ๐“๐’ 2023/24๐Ÿ”ฐ Kuna tofauti ya Jezi naโ€ฆโ€ฆโ€ฆ.. wananchi mtamalizia๐Ÿคฃ #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

YoungAfricansSC's profile picture

Young Africans SC

412,431 subscribers

155,741 ะฟั€ะพัะผะพั‚ั€ะพะฒ โ€ข 2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด โ€ขvia X (Twitter)

ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ: 10

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Zee la Vyeti (PhD)
Zee la Vyeti (PhD)2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

au nihamie Yanga ?

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั MIRAMBO
MIRAMBO2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Digital digital digital. Hiki kitengo kinaishi peponi kinafanya kazi yanga๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Mr Champion
Mr Champion2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Nashauri tu lakini! Tuwapumzisheni makolo na wao ni binadam kisha wengine ni ndugu na jamaa zetu wa karibu wengine ni wazazi na familia pia! Humanity ni mhimu sana ndugu admin! Maisha ya furaha kuhusu kikundi chao cha mwakarobo yako mashakani! TUTAWAPOTEZA.๐Ÿ˜

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั D E E ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
D E E ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

admin utaua hapo ulipopiga mara ya kwanza ni pressure point mwache aondoke ana familia inamtegemea๐Ÿ˜ƒ

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั farmboy20
farmboy202 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Ehee na hiphop ndani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kama namuona ndugu yangu @incredible_nory anavyo teseka na @GIVENALITY wake njooni darasani msiwe mna toroka kwenda kula ndete come sit and learn a lesson ๐Ÿ˜€

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Njiwapori 10k
Njiwapori 10k2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

@bkisusi Acheni ukorofi basi

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Mr Fixed
Mr Fixed2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Jezi ya kwenda

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Sultan ๐Ÿ‘‘
Sultan ๐Ÿ‘‘2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Yanga kuanzia admin mashabik viongoz wanachama mpk timu yenyew inapenda sif sn aisee ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿค—๐Ÿ˜‰

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั Nobody๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Nobody๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Mlichowafanyia utopolo Mungu anawaona, Mkajadiliana jana usiku mkasema tuache watangaze kwanza, Mkakata clip mkaachia nusu kwanza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

ะคะพั‚ะพ ะฟั€ะพั„ะธะปั allyson sam
allyson sam2 ะปะตั‚ ะฝะฐะทะฐะด

Simb iki nini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ au ndo jini kabula๐Ÿคฃ

ะŸะพั…ะพะถะธะต ะฒะธะดะตะพ

Tume ya UCHAGUZI inabidi kuwe na sheria ya kupima pombe wagombea kabla ya kupanda majukwaani Hii kauli kama hii inaweza tolewa na mtu hata ambaye akufanya vizuri darasa la 4 ? wale watoto wa Darasa la 4 wanajua maendeleo ya wananchi sio kutokana na aina ya mbunge au chama gani, maendeleo ni kutokana na kodi CCM siku hizi inajua kutisha tisha tu, kimekuwa na sera ya vitisho , wananchi msikubali kutishwa, 29 OCTOBER ndio mwisho wa haya mambo haiwezekani ufanyekazi kwa nguvu na bidii halafu mwisho unatishwa na mtu kwamba hakuna maendeleo mpaka uchague mbunge wa chama changu, halafu baadaye wanakuja wanakuambia kuna DIRA ya Maendeleo ya Taifa, kama kweli wamepanda kutekeleza hiyo DIRA inakuwaje haisemi lakini hiyo dira inatekelezwa kwenye majimbo ya wana CCM tu Bunge la 2020 -- 2025 Wabunge wote walikuwa wa CCM kwa asilimia 98% kwenye majimbo kote walijiweka wao Je kuna nafuu yoyote mmeona kwenye majimbo kama kweli mbunge akiwa wa CCM ndio unapata maendeleo mbona hakuna maendeleo nchi nzima? Mfumko wa bei za vyakula kuna jimbo lolote lenye Nafuu ? kuna jimbo lolote ambalo lenye CCM mchele ni bei nafuu au anaongelea maendeleo gani? kuna bei tofauti ya mfuko wa cement kwenye majimbo ya CCM ? ADA za shule ni nafuu au nauli kwenye mabus? kuna mishahara tofauti kwenye hayo majimbo ya wanaCCM Msifanywe wajinga hii ni moja ya sababu ya kutoka sababu hawa ni waongo sana

Think Different

19,426 ะฟั€ะพัะผะพั‚ั€ะพะฒ โ€ข 9 ะผะตััั†ะตะฒ ะฝะฐะทะฐะด