ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹ #๐‚๐€๐…๐‚๐‹ ๐˜๐Ž๐”๐๐† ๐€๐…๐‘๐ˆ๐‚๐€๐๐’ ๐’๐‚ ๐Š๐ˆ๐“๐’ 2023/24๐Ÿ”ฐ Kuna tofauti ya Jezi naโ€ฆโ€ฆโ€ฆ.. wananchi mtamalizia๐Ÿคฃ #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

155,741 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Zee la Vyeti (PhD) ็š„ๅคดๅƒ
Zee la Vyeti (PhD)2 ๅนดๅ‰

au nihamie Yanga ?

MIRAMBO ็š„ๅคดๅƒ
MIRAMBO2 ๅนดๅ‰

Digital digital digital. Hiki kitengo kinaishi peponi kinafanya kazi yanga๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Mr Champion ็š„ๅคดๅƒ
Mr Champion2 ๅนดๅ‰

Nashauri tu lakini! Tuwapumzisheni makolo na wao ni binadam kisha wengine ni ndugu na jamaa zetu wa karibu wengine ni wazazi na familia pia! Humanity ni mhimu sana ndugu admin! Maisha ya furaha kuhusu kikundi chao cha mwakarobo yako mashakani! TUTAWAPOTEZA.๐Ÿ˜

D E E ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
D E E ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ๅนดๅ‰

admin utaua hapo ulipopiga mara ya kwanza ni pressure point mwache aondoke ana familia inamtegemea๐Ÿ˜ƒ

farmboy20 ็š„ๅคดๅƒ
farmboy202 ๅนดๅ‰

Ehee na hiphop ndani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kama namuona ndugu yangu @incredible_nory anavyo teseka na @GIVENALITY wake njooni darasani msiwe mna toroka kwenda kula ndete come sit and learn a lesson ๐Ÿ˜€

Njiwapori 10k ็š„ๅคดๅƒ
Njiwapori 10k2 ๅนดๅ‰

@bkisusi Acheni ukorofi basi

Mr Fixed ็š„ๅคดๅƒ
Mr Fixed2 ๅนดๅ‰

Jezi ya kwenda

Sultan ๐Ÿ‘‘ ็š„ๅคดๅƒ
Sultan ๐Ÿ‘‘2 ๅนดๅ‰

Yanga kuanzia admin mashabik viongoz wanachama mpk timu yenyew inapenda sif sn aisee ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿค—๐Ÿ˜‰

Nobody๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
Nobody๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ๅนดๅ‰

Mlichowafanyia utopolo Mungu anawaona, Mkajadiliana jana usiku mkasema tuache watangaze kwanza, Mkakata clip mkaachia nusu kwanza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

allyson sam ็š„ๅคดๅƒ
allyson sam2 ๅนดๅ‰

Simb iki nini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ au ndo jini kabula๐Ÿคฃ

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘