
Hilda Newton
@HildaNewton21 • 957,482 subscribers
Journalist/Activist/President Of Tanzania 2045
Shorts
Videos

“Katibu Mkuu (Mnyika) umefanyakazi nzuri sana, Amani Golugwa next”-; Mhe. Lissu
Hilda Newton21,702 просмотров • 20 часов назад

“Tuwaambie AFCON isije Tanzania imejaa Wahaini na Magaidi…”-; Jenerali Ulimwengu.
Hilda Newton44,239 просмотров • 5 дней назад

Kiongozi wa ACT kidogo ampige ngumi Edwin Odemba sio kwa panic hii.😂😂😂
Hilda Newton85,752 просмотров • 18 дней назад

"Baba Bishop waambie watu wangu sina dawa, nimeishiwa dawa." Mhe. Tundu Antiphas Lissu 🥹
Hilda Newton32,383 просмотров • 6 дней назад

Hivi ilikuaje Chalamila akawa Mkuu wa Mkoa mbona akili yake ndogo sana?🚮
Hilda Newton67,585 просмотров • 15 дней назад

Ujumbe mzito kutoka kwa Makam Mhe. John Heche kwenda kwa Wanachadema na Watanzania wote kwa ujumla.
Hilda Newton44,079 просмотров • 11 дней назад

Mgeni kaalikwa, kawapa makavu live waliomulika, kitaalam hii ndo mlisema inaitwaje…?😂😂😂😂
Hilda Newton66,880 просмотров • 20 дней назад

“Poleni Maafande, Poleni ila huyu Amin Mahamba nipo nae siku nzima ya kesho…”-; Mhe. Lissu
Hilda Newton75,929 просмотров • 23 дней назад

Nilipoona hii Video nikakumbuka Simbachawene akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani aliulizwa kwanini sifa ya mtu kujiunga na Jeshi la Polisi ni lazima afeli kidato cha nne.? Akajibu kwamba mtu mwenye Division 1 huwezi kumtumikisha, hawezi kukubali hata kulinda bank. Mtu mwenye Division 1 huwezi kumkuta anafanya huu upumbavu ambao wanafanya hawa Mapolisi kwenye hii video,hawa wanajua kutumia nguvu tu hata mahali ambapo panahitaji kutumia akili.🚮
Hilda Newton56,700 просмотров • 23 дней назад

Mpaka sasa tumefikisha 3,160,000 milioni tatu, laki moja na sitini, Mungu awabariki sana. Tuendelee kutuma michango yetu kwa ajili ya Bibi yake Deusdedith Soka ili aweze kupata mahitaji muhimu ikuwemo Bima ya afya. Mpesa : 0740498941 Jina: Theresia Soka. NB. Tunakusudia kukusanya milioni tano.
Hilda Newton28,636 просмотров • 12 дней назад

Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar anasema kwamba Martha Karua alivyokuja Tanzania vyombo vya usalama vilitakiwa kummaliza. Yani alitaka Martha Karua apotezwe kama walivowapoteza akina Deusdedith Soka. Ni aibu kubwa kwa Tanzania kuwa na Mbunge mwenye akili mbovu kama huyu.🚮🚮🚮
Hilda Newton778,553 просмотров • 1 год назад

Ujumbe wa Apostle Josephat Mwingira kwa Wapigania Haki wote.🙏🥹❤️
Hilda Newton27,771 просмотров • 13 дней назад

Nduli Idd Amin Mama ameifanya nchi yetu imekua Uwanja wa mauaji, hakuna aliyesalama.😭😭😭
Hilda Newton39,379 просмотров • 20 дней назад