
Kumbusho Dawson Kagine
@KumbushoDawson • 196,092 subscribers
Democracy must be built through open societies which shares information. When there is information there is enlightenment.
Shorts
Videos

Unajua nacheka kwa nini? Hii ni maajabu!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbusho Dawson Kagine56,643 views • 1 month ago

Huyu siyo kwamba ni Kibaka au mwizi (panya road)....Hapana. Huyu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Felius Festo , ni Mtanzania mwenzetu. Kosa lake kuhudhuria kesi ya Uhaini inayo Mkabili Tundu Lissu. Polisi wetu walikuwa Wanapiga kama wanaua nyoka! Hii ilikuwa mwezi April mwaka 2025.
Kumbusho Dawson Kagine41,505 views • 1 month ago

"It is unprofessional to publish bad test image"-Gerson Msigwa.
Kumbusho Dawson Kagine82,270 views • 9 months ago

Kumbusho Dawson and BongZozo became friends right now on Facebook.
Kumbusho Dawson Kagine71,898 views • 9 months ago

Mnajitoaga akili wakati mwingine ng'ombe nyie. Leo akili zimewewarudia..
Kumbusho Dawson Kagine15,046 views • 1 month ago

Watanzania walipoteza ndugu zao, wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025. Milli yao hadi leo haijulikani ilipo, kuna wengine waliamua kuzika nguo zao. Bashe anajisifu kumzika ng'ombe wake kama binadamu na kwa heshima kubwa. Anasema Watanzania wanaweza kumuona kama CHIZI.
Kumbusho Dawson Kagine33,216 views • 6 months ago

Gen Z hawataki "UPUUSI".....Gen Z wamenyooka kama rula.
Kumbusho Dawson Kagine36,514 views • 9 months ago