Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Kwani Watanzania tulimkosea nini Mungu wetu?

97,193 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Cogito, ergo Sum profil fotoğrafı
Cogito, ergo Sum1 yıl önce

Morogoro huwa Kuna wajinga wengi nadhani ukifuatia Pwani na Zanzibar, Tanga

@mtanganyika profil fotoğrafı
@mtanganyika1 yıl önce

MUNGU alishamaliza kazi yake! Tusimuhusishe kwenye ujinga,unafiki,uchawi,mauaji,utekaji mateso na roho mbaya zetu. Mabaya yote na ujinga wote tumeuchagua wenyewe! Wazungu,wajapani,uchina wote wameendelea kwasababu wamechagua kuendelea! Sisi tumechagua ujinga hakuna huruma

No Reforms. No Elections profil fotoğrafı
No Reforms. No Elections1 yıl önce

Dah!!😭😭😭😭..hìi Nchi ya kisenge sana hivi mwisho utakuwaje maana nahisi kutoa mtu roho kama siyo kufa mimi mamaee..

Eng Kevin profil fotoğrafı
Eng Kevin1 yıl önce

Yani tangu bunge lianzishwe huyu ndo mbunge kilaza kuliko wote @BabuTale

Chelsea_the_blues profil fotoğrafı
Chelsea_the_blues1 yıl önce

Wala sio mungu, ni sisi tu na upumbavu wetu, utashangaa huyo atapita novemba

Professor profil fotoğrafı
Professor1 yıl önce

Jambo la kwanza NJAAA Jambo la pili NJAA Jambo la tatu UMASIKINI Jambo la nne UMASIKINI Jambo la tano ELIMU

MARTIN MARTIAL profil fotoğrafı
MARTIN MARTIAL1 yıl önce

Huu upumbavu unafugwa na watu wa ccm,hata kama wanaiba kura basi walete watu wa maana,hii ni aibu hakina mtu anashindwa kununua kanga na kofia

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

take the journey

Hamza Mbasha profil fotoğrafı
Hamza Mbasha1 yıl önce

Kama bado watu wanapewa kanga tuna safari ndefu sana kama nchi tena ndefu sana uwezi kufanya huu ujinga kwenye sehemu zinazoeleweka.

GeN z Tz 🇹🇿 profil fotoğrafı
GeN z Tz 🇹🇿1 yıl önce

😂😂😂😂 huyu si mbunge wa vitu maalumu na ni la saba kuna kipi atakua labda kwenye siasa sema wananchi ni vilaza kama yeye ndio maana wanpokea tu bila kuuliza ni vya nini wapeleke wap !!

Nyando_Mwaliwaya🇰🇪🦁 profil fotoğrafı
Nyando_Mwaliwaya🇰🇪🦁1 yıl önce

CCM wanahuruma sana na Wananchi , Hakuna Taifa ambalo mbunge anaweza gawa khanga! Nyeeeeeeeeeeeee👏

Benzer Videolar