Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kwani Watanzania tulimkosea nini Mungu wetu?
97,193 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Morogoro huwa Kuna wajinga wengi nadhani ukifuatia Pwani na Zanzibar, Tanga

MUNGU alishamaliza kazi yake! Tusimuhusishe kwenye ujinga,unafiki,uchawi,mauaji,utekaji mateso na roho mbaya zetu. Mabaya yote na ujinga wote tumeuchagua wenyewe! Wazungu,wajapani,uchina wote wameendelea kwasababu wamechagua kuendelea! Sisi tumechagua ujinga hakuna huruma

Dah!!😭😭😭😭..hìi Nchi ya kisenge sana hivi mwisho utakuwaje maana nahisi kutoa mtu roho kama siyo kufa mimi mamaee..

Yani tangu bunge lianzishwe huyu ndo mbunge kilaza kuliko wote @BabuTale

Wala sio mungu, ni sisi tu na upumbavu wetu, utashangaa huyo atapita novemba

Jambo la kwanza NJAAA Jambo la pili NJAA Jambo la tatu UMASIKINI Jambo la nne UMASIKINI Jambo la tano ELIMU

Huu upumbavu unafugwa na watu wa ccm,hata kama wanaiba kura basi walete watu wa maana,hii ni aibu hakina mtu anashindwa kununua kanga na kofia

take the journey

Kama bado watu wanapewa kanga tuna safari ndefu sana kama nchi tena ndefu sana uwezi kufanya huu ujinga kwenye sehemu zinazoeleweka.

😂😂😂😂 huyu si mbunge wa vitu maalumu na ni la saba kuna kipi atakua labda kwenye siasa sema wananchi ni vilaza kama yeye ndio maana wanpokea tu bila kuuliza ni vya nini wapeleke wap !!

CCM wanahuruma sana na Wananchi , Hakuna Taifa ambalo mbunge anaweza gawa khanga! Nyeeeeeeeeeeeee👏

