
Kumbusho Dawson Kagine
@KumbushoDawson • 195,993 subscribers
Democracy must be built through open societies which shares information. When there is information there is enlightenment.
Shorts
Videos

Huyu siyo kwamba ni Kibaka au mwizi (panya road)....Hapana. Huyu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Felius Festo , ni Mtanzania mwenzetu. Kosa lake kuhudhuria kesi ya Uhaini inayo Mkabili Tundu Lissu. Polisi wetu walikuwa Wanapiga kama wanaua nyoka! Hii ilikuwa mwezi April mwaka 2025.
Kumbusho Dawson Kagine41,205 görüntüleme • 7 gün önce

"It is unprofessional to publish bad test image"-Gerson Msigwa.
Kumbusho Dawson Kagine82,119 görüntüleme • 8 ay önce

Mnamkwaza Charlie Chaplin, atawajibu tena kesho!
Kumbusho Dawson Kagine43,871 görüntüleme • 4 ay önce

Kumbusho Dawson and BongZozo became friends right now on Facebook.
Kumbusho Dawson Kagine71,830 görüntüleme • 7 ay önce

Watanzania walipoteza ndugu zao, wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025. Milli yao hadi leo haijulikani ilipo, kuna wengine waliamua kuzika nguo zao. Bashe anajisifu kumzika ng'ombe wake kama binadamu na kwa heshima kubwa. Anasema Watanzania wanaweza kumuona kama CHIZI.
Kumbusho Dawson Kagine33,216 görüntüleme • 4 ay önce

Askari wa jeshi la polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, Ndiyo vitakuwa vyombo pekee vitakavyokuwa Barabara kwa ajili ya "KAZI MAALUMU". Kisha mkazima mtandao kwa zaidi ya wiki nzima....Kilicho fuata, Mungu tu Ndiyo anajua....MAUAJI YA KUTISHA, Vijana wetu wakauawa.
Kumbusho Dawson Kagine11,756 görüntüleme • 1 ay önce

Maswali binafsi" unaishi wapi ,umeoa Tanzania?, una watoto wangapi wapi? unapenda kulala polisi station?. Nilitegemea aulize mnalipwa fedha kwa wakati?, muda wenu wa mkataba unasema mnapaswa kumaliza lini? etc N.B: Na uhehe huu niongee na mtu anishike bega...Ndimsindika kumahame
Kumbusho Dawson Kagine23,412 görüntüleme • 4 ay önce

Jamani naomba kuuliza huyu ni nani? Si Kwa ubaya lakini! Au Ndiyo mwenye hati miliki ya nchi hii?
Kumbusho Dawson Kagine63,836 görüntüleme • 1 yıl önce

Gen Z hawataki "UPUUSI".....Gen Z wamenyooka kama rula.
Kumbusho Dawson Kagine36,511 görüntüleme • 7 ay önce

A "golden boy" Deogratias Mahinyila , then got this to say!
Kumbusho Dawson Kagine42,953 görüntüleme • 10 ay önce

Completely useless..... Rest where you deserve to be.. Kikoko cha Mwihala veve. Hawa ndiyo waliosababisha vijana wengi kuuawa kwa sababu ya tamaa zao za madaraka. Kungekuwa na Tume huru ya uchaguzi, Katiba mpya na hakuna utekaji nani, hakuna matumizi mabaya ya mali za umma nani angeandamana?
Kumbusho Dawson Kagine32,765 görüntüleme • 7 ay önce