
Gerson Msigwa
@MsigwaGerson • 849,914 subscribers
The Permanent Secretary of Information, Culture, Arts and Sports || Chief Government Spokesperson of Tanzania.
Videos

Ndugu zangu Waandishi wa Habari mnaonipigia simu nyingi na kunitumia ujumbe mkiniuliza kuhusu jambo hili, ni hivi; Hili lilikuwa wasilisho langu katika kikao kazi cha Maafisa Habari nililotoa tarehe 8 Mei, 2026 Mjini Njombe nikiwa msimamizi na mratibu wasilisho langu katika vitengo cya habari Serikalini (sikiliza video mpaka mwisho) Nilikuwa nikitekeleza wajibu wangu na niliyoyazungumza/niliyoyakumbusha ni kwa mujibu wa Sheria ya Usalama wa Taifa, Sheria ya Utumishi wa Umma na Kanuni za Utumishi wa Umma. Naamini mmenielewa, kazi njema. #SinaNoma
Gerson Msigwa89,702 görüntüleme • 1 ay önce

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI TANZANIA. #UsishirikiUhalifu
Gerson Msigwa41,941 görüntüleme • 1 ay önce

Kuna wakati ni vizuri kuwasikiliza watumiaji wenyewe wa Bandari. Asante Mnyalukolo CHRIS LUKOSI NB. Bandari haijauzwa, haitauzwa na hakuna mpango wa kuiuza. Juhudi zinazofanyika ni za kuongeza ufanisi wa bandari kwa kuweka uwekezaji mkubwa kupitia sekta binafsi ambao utatuongezea mapato kwa zaidi ya mara 3 ikilinganishwa na sasa, utatuongezea ajira, utavutia biashara ya bandari yetu, utatuongezea manufaa ya reli yetu ya kisasa (SGR) na utatujengea uwezo wa kuendesha bandari kisasa. 🙏🏼🙏🏼 GlobalNetTVChannel
Gerson Msigwa568,069 görüntüleme • 3 yıl önce

SERIKALI SIKIVU IMEWASIKILIZA WAHESHIMIWA WABUNGE KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA 2026/27, IMEKUBALI KUFANYA MAREKEBISHO KWA KUWEKA MBELE MASLAHI YA WANANCHI. Shukrani nyingi kwa Kiongozi Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuijali Tanzania na kuwajali Watanzania. // Msikilize Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu akitimisha uwasilishaji wa muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2026 baada ya Bunge zima kupitisha kura ya NDIO. #KaziIendelee
Gerson Msigwa17,596 görüntüleme • 1 ay önce

U F A F A N U Z I. 1. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) lipo katika mchakato wa kuanza safari za Ulaya. Huko sio kuzuiwa. 2. Serikali haijanunua na haina mpango wa kuanza kununua vichwa vya treni za SGR vya kutumia mafuta ya dizeli. Tunanunua vya umeme, haturudi nyuma. PUUZENI UPOTOSHAJI HUU.
Gerson Msigwa111,697 görüntüleme • 1 yıl önce

Hii hapa habari njema kwa Watumishi wa Umma. Ni nyongeza ya kima cha chini cha mshahara kwa asilimia 35.1. Kima cha chini kitaongezeka kutoka shilingi 370,000/- hadi shilingi 500,000/-. Pia nyongeza nono kwa watumishi wa ngazi nyingine za mshahara. Nikisema KAZI NA UTU!!!! unajibu………. Asante Mheshimiwa Rais. Hii ni imani kubwa kwa Watumishi wa Umma na imani huzaa imani (wenye D mbili tumekusoma) #KaziIendelee
Gerson Msigwa78,525 görüntüleme • 1 yıl önce

Haya waliokuwa wanasema “MSIGWA ANATUPIGA SOUND” Mabehewa 6 haya hapa yamefika. Mmeviona vitu vya ghorofa hivyo? Na ni kwa mara ya kwanza Tanzania, tutasafiri katika reli ya kisasa - SGR na tunaanza kwa kishindo kwa kutumia mabehewa ya ghorofa, Chezea Samia wewe??? Vichwa vinaanza kuja Julai, 2023 na mabehewa 24 yaliyobaki yatakuja kwa awamu. TUPO VIZURI. #KaziIendelee
Gerson Msigwa116,536 görüntüleme • 3 yıl önce

Mtalii wa Ndani Masanja amefika Mkoa wa raha na mahaba, Tanga hoyeeeeeee!!!! Ametangulia kusafisha njia wakati Wananchi wa Tanga wanamsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeanza ziara ya Mkoa wa Tanga keshokutwa tarehe 23 Februari, 2025. TANGA MPO TAYARI??????
Gerson Msigwa52,454 görüntüleme • 1 yıl önce

Michango ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania kuhusu ufanisi katika uendelezaji na uendeshaji wa Bandari hapa nchini Tanzania. Ni wakati walipochangia bajeti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya Mwaka 2023/24 Bungeni, Jijini Dodoma wiki mbili zilizopita. Kwa mjadala wa wazi kuhusu uendelezaji na uendeshaji wa Bandari, karibuni katika Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali leo kuanzia saa 3:00 usiku ambapo viongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) wataeleza kwa kina, kujibu hoja za wananchi na kupokea maoni na ushauri.
Gerson Msigwa93,424 görüntüleme • 3 yıl önce

DUNIA ILIVYO NGUMU kuna watu watambishia hata huyu Mzee Nazir Karamagi, muasisi wa kampuni ya TICTS iliyopewa mkataba wa kuendesha magati 4 ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 22 na sasa mkataba umekwisha na TICTS wameondoka zao. MSISITIZO. Bandari haijauzwa, haitauzwa na hakuna mpango wa kuiuza. Wawekezaji watakodishwa na wakikodishwa watalipa pango na watalipa kodi, muda wa mikataba tutakayokubaliana utakapokwisha tutaamua waendelee au waondoke. Wakizungua tutawafurusha na tutatafuta mwekezaji mwingine. HUU NDIO UKWELI.
Gerson Msigwa85,014 görüntüleme • 3 yıl önce