
SIR TIVA
@Sativa255 • 184,261 subscribers
Survivor of Head Bullet 27.06.2024 | Human rights defender | PYALA PYALA.
Shorts
Videos

Watanzania walitaka namba ya MAKAMU HECHE ili wamtumie PESA kama kumuunga mkono kipindi hiki kigumu. MAKAMU HECHE kaamua kuomba watanzania wachangie CHAMA-Chama kina jukumu zito ndani ya huu mwezi mmoja kuitisha BARAZA KUU LA CHAMA. Baraza kuu la CHAMA linakuja kufanya maamuzi MAZITO juu ya haya mambo mawili. 1. KATIBA MPYA. 2. FREE TUNDU LISSU. Jumla MILIONI 330 inatakiwa-Kufanikisha hili BARAZA KUU. Weka mchango wako kwenye account rasmi za CHAMA. Voda (MPESA): 0744446969 JINA: CHADEMA HQ. Repost 500
SIR TIVA89,010 views • 8 days ago
2:10
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Oya home boi #NIPENI_MAUA_YANGU💐 Unajiuliza huyu dada anafanya nini KYELA? Mamae 🔥🔥🔥
SIR TIVA75,740 views • 10 days ago

SAFARI ZA MATRENI ZIMERUDI.🚊 Odds 333 hizi ni sportybet (SIKILIZA CODE IANDIKE HAPO KWENYE COMMENT). Odds 107 hizi ni helabet zinamaliza safari ALHAMISI week hii-zipo tayari kwenye whatsapp channel pale. Njoo whatsapp channel upate haya matreni na mengine mengi BURE—bonyeza link kwenye bio. HAKIKISHA UNAREPOST WATU WENGI WAPANDE MATRENI HAYA. #matreni #maelekezo #football #tutakuwepo🫵🏾😎
SIR TIVA19,334 views • 6 days ago
1:17
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
9:02
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Huyu JOSEPH YOHANA kutwa kutukana wanaharakati kupitia Press ambazo wanapewa fedha na ABDULI. Pesa zenyewe wakizipata ndio kama hivi, jitu la miaka 50+ linaishia kununua SHISHA bar, na kulazimisha vitoto vidogo wakalale navyo. Pesa za LAANA hakuna kitu cha maana mtafanyia wapumbavu nyie, hizo pesa zimejaa damu za ndugu zetu. Ukimkuta huyu na shehe MWAIPOPO sasa wanajikuta watu wa dini na wanapambania Amani, kumbe ni WASHENZI tuu wanatafuta pesa za kuvutia SHISHA na kununua mademu.
SIR TIVA23,716 views • 25 days ago

Ofisi yangu ya kufanya content & betting ipo tayari kwa matumizi kwasasa. Bado kuna vitu kadhaa vinapungua ila haviwezi kunizuia kuanza leo. Kama niliweza kujibana pembezoni mwa TV kwa siku 54– na kutengeneza contents 406 ambazo zilipostiwa kwenye social zangu zote, hapa panatosha sana. Content zangu ni kuongelea Mpira wa mbele tuu na sio CHA NDIMU (mpira uliolaaniwa). Lakini pia kufanya Betting kwa muda mwingi hapa ndipo patakuwa OFISI YANGU mpya. Idea nzima imetoka kichwani mwangu, na hii ni baada ya kuona kutoka kwa contents creator wengi wa NAIJERIA (WAPOPO) nikaunganisha mawazo na kuja na hiki kitu. Kwenye suala la contents bado WAPOPO wataendelea kuwa WALIMU WANGU, wajomba wapo serious sana. Narudia tena kama unataka pesa za mitandaoni basi tafuta wapopo wawe kama walimu wako. Na uzuri ni kwamba WAPOPO wapo wengi kwenye kila sekta, kila unachofikiria kuhusu mitandao na kukuingizia pesa basi kuna WAPOPO kwa MAELFU tayari wanafanya. New Day. New Week. New OFFICE. TUTAKUWEPO🫵😎
SIR TIVA103,259 views • 4 months ago