
Young Africans SC
@YoungAfricansSC • 413,676 subscribers
Official Twitter Page Of Young Africans Sports Club | Home Of Champions🏆
Shorts
Videos

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga Munir Said ameungana na Wanachama wa Klabu yetu kufika dukani kwa Clementi Mzize na kumpongeza kwa mchango wake katika mchezo wa jana wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe Clementi Mzize alifunga Magoli 2 kwenye ushindi wa 3-1 tulioupata kwenye mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa. #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
Young Africans SC86,875 次观看 • 1 年前