Adventure-360's banner
Adventure-360's profile picture

Adventure-360

@Adventure_36183,823 subscribers

Lawyer, Human Rights Activists, @simbasportsclub @ManchesterUnited Fan, Buses Fun, Buses Reporter 🚌

Shorts

Dereva wa malori uko Congo wanapata shida sana, Huyu jamaa bila panga apa sijuw ingekuwaje 😃

Dereva wa malori uko Congo wanapata shida sana, Huyu jamaa bila panga apa sijuw ingekuwaje 😃

198,357 Aufrufe

Wakuu hii video huyu jamaa amerekod kwa kutumia simu gani? Noma sana 🙌

Wakuu hii video huyu jamaa amerekod kwa kutumia simu gani? Noma sana 🙌

195,410 Aufrufe

Apo kariakoo mtaa wa Congo na mchikichi kuna ghorofa limeporomoka chini muda huu. Poleni sana aisee, taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika.

Apo kariakoo mtaa wa Congo na mchikichi kuna ghorofa limeporomoka chini muda huu. Poleni sana aisee, taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika.

130,679 Aufrufe

Njia ya Songea - Njombe nyembamba sana. Kama huyu ilikuwaje apo?

Njia ya Songea - Njombe nyembamba sana. Kama huyu ilikuwaje apo?

106,879 Aufrufe

Huyu anaitwa Afande nani? na yuko sehemu gani? Appreciation tweet kwake

Huyu anaitwa Afande nani? na yuko sehemu gani? Appreciation tweet kwake

74,205 Aufrufe

Hii ajali imetokea Muda huu maeneo ya Chalinze apo ikihusisha Costa ya SPECIAL HIRE iliyokuwa imebeba maiti kupeleka mkoani uko imegongana na lori. Poleni sana jamani Mungu awatie nguvu sana apo, Taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika.

Hii ajali imetokea Muda huu maeneo ya Chalinze apo ikihusisha Costa ya SPECIAL HIRE iliyokuwa imebeba maiti kupeleka mkoani uko imegongana na lori. Poleni sana jamani Mungu awatie nguvu sana apo, Taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika.

67,406 Aufrufe

Location: Mwena- Ndanda Saa 11:20 jioni. Chuma imepaki maeneo ya Mwena Ndanda apo, Kwa leo watalala hapo alafu kesho asubuhi wataendelea na safari. Hiyo Boti inaenda Mwanza ni safari ya Mwezi mzima

Location: Mwena- Ndanda Saa 11:20 jioni. Chuma imepaki maeneo ya Mwena Ndanda apo, Kwa leo watalala hapo alafu kesho asubuhi wataendelea na safari. Hiyo Boti inaenda Mwanza ni safari ya Mwezi mzima

49,951 Aufrufe

ALLYS STAR BUS 😷😷, watu wako mbele ya muda Alafu apo anapopita ni machinjioni pabaya kinoma. Hii ni hatari

ALLYS STAR BUS 😷😷, watu wako mbele ya muda Alafu apo anapopita ni machinjioni pabaya kinoma. Hii ni hatari

56,315 Aufrufe

Unawezaje kumpiga Mwanamke ķiasi hiki? Kuna watù wana roho mbaya 🙌

Unawezaje kumpiga Mwanamke ķiasi hiki? Kuna watù wana roho mbaya 🙌

89,563 Aufrufe

Happy Nation na Katarama zipo korokoroni, Chanzo ni kutokana na video frame namba moja apo. Wamechomana wenyewe kwa wenyewe

Happy Nation na Katarama zipo korokoroni, Chanzo ni kutokana na video frame namba moja apo. Wamechomana wenyewe kwa wenyewe

37,630 Aufrufe

Saa 18:13 jion Hii Boti leo wanalala Ruaha Mbuyuni apa, Leo ni siku ya 13 ya safari. Kutoka Mtwara mpk hapa wameshatembea KM 940 Plus. Mzigo unaenda Mwanza huo, makadirio ya safari ni siku 30. Sikilizeni maelekezo hayo 😄

Saa 18:13 jion Hii Boti leo wanalala Ruaha Mbuyuni apa, Leo ni siku ya 13 ya safari. Kutoka Mtwara mpk hapa wameshatembea KM 940 Plus. Mzigo unaenda Mwanza huo, makadirio ya safari ni siku 30. Sikilizeni maelekezo hayo 😄

21,320 Aufrufe

Huyu dereva wa lori alikuwa anaendesha gari uku amechelewa chakari. Hii mbona hatari sana

Huyu dereva wa lori alikuwa anaendesha gari uku amechelewa chakari. Hii mbona hatari sana

17,899 Aufrufe

Hii ajali imetokea jioni hii mkoani Mbeya kwenye ule mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga pale. Hii ajali inahusisha magari manne daladala mbili na lori mbili na watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha. Taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika. Poleni sana

Hii ajali imetokea jioni hii mkoani Mbeya kwenye ule mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga pale. Hii ajali inahusisha magari manne daladala mbili na lori mbili na watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha. Taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika. Poleni sana

17,131 Aufrufe

Huyo jamaa sijuw hakujua kama watu wapo kwenye mashindano apo 🥲, mbona angekuwa balaa sana

Huyo jamaa sijuw hakujua kama watu wapo kwenye mashindano apo 🥲, mbona angekuwa balaa sana

23,590 Aufrufe

Haya mambo haya mmh

Haya mambo haya mmh

14,891 Aufrufe

Videos

Huyu Dereva wa Crown ameniangusha sana
0:38

Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Hawa madereva wawe wanapumzika aisee, Hii balaa Mungu atusaidie tu.
0:25

Sensitive content

This media may contain sensitive content.