
Kumbusho Dawson Kagine
@KumbushoDawson • 194,957 subscribers
Democracy must be built through open societies which shares information. When there is information there is enlightenment.
Shorts
Videos

Watanzania walipoteza ndugu zao, wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025. Milli yao hadi leo haijulikani ilipo, kuna wengine waliamua kuzika nguo zao. Bashe anajisifu kumzika ng'ombe wake kama binadamu na kwa heshima kubwa. Anasema Watanzania wanaweza kumuona kama CHIZI.
Kumbusho Dawson Kagine33,216 次观看 • 3 个月前

Maswali binafsi" unaishi wapi ,umeoa Tanzania?, una watoto wangapi wapi? unapenda kulala polisi station?. Nilitegemea aulize mnalipwa fedha kwa wakati?, muda wenu wa mkataba unasema mnapaswa kumaliza lini? etc N.B: Na uhehe huu niongee na mtu anishike bega...Ndimsindika kumahame
Kumbusho Dawson Kagine23,412 次观看 • 2 个月前

Completely useless..... Rest where you deserve to be.. Kikoko cha Mwihala veve. Hawa ndiyo waliosababisha vijana wengi kuuawa kwa sababu ya tamaa zao za madaraka. Kungekuwa na Tume huru ya uchaguzi, Katiba mpya na hakuna utekaji nani, hakuna matumizi mabaya ya mali za umma nani angeandamana?
Kumbusho Dawson Kagine32,756 次观看 • 5 个月前
