Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Alhamdulilah, Tumevuka ๐๐ฝ๐๐ฝ #Simba #NguvuMoja
31,038 Aufrufe โข vor 1 Jahr โขvia X (Twitter)
24 Kommentare

Bendera ya Taifa inapepea

- All I Knew

Leo nusu fainali ya kombe la shirikisho inamliza mtu

Kombe round hiii linakuja boss tuna team madhaifu madogo sanaa

Kila mechi unaweka hii picha, ulipiga wakati huo unaishabikia ๐ฆ , simba ile ambayo ikicheza lazima ufike na wewe uwanjani๐ Sijui imekuwaje, Toka useme inakupa hasara hajawahi fika uwanjani hata kama inafanya vizuri. Fika uwanjani, tupate picha nyingine na muonekano wako mpya

Tajiri yule tryagain mwambie tunamuombea pepo kwa kumleta mpanzu

๐ฆ

Asante sana Boss, hongera na kwako pia, hakika wana lunyasi tumefurahi sana, God is great all the time. #Simbanguvumoja ๐ช๐ฆ

Bado timu inahitaji washambuliaji

2.3B unakosaje kutu bless boss ๐ ๐ sorry km nimekuboa ni ndani ya furaha tuu๐ ๐

๐ฆ๐ฆ๐ฅ๐ซถ

Kwa kuchechemea tajiri huko mbele mtapigwa mpaka mchakae

Nguvu moja

CONGRATULATIONS TAJIRI

Ndio

Tajir hii ndo faida ya uwekezaji endelea kuweka pesa usisite kombe litakuja nyumban nakwambia one day ata ili litakuja inshallah

Boss ebu mtag kigwangwala

Unastahili kushukuriwa mnoo

๐๐๐ฆ๐ช

Yes! We cross.

Tajiri nipo nakunywa mo energy apaa

Alhamdulilah!!!!!

Tumevuka tajiri @moodewji na tunachukua hili kombe kama ilivyokuwa ndoto yako sikuzote

Tunashukuru boss kwa kuijenga Team!! Mungu akupe maisha marefu
